Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘LOW CUT’ unavyobamba wanawake kwa kasi

Ukiwa mdau unayefuatila na kufahamu vizuri masuala ya mitindo utakubaliana nami kwamba wimbi la wanawake wanaonyoa mtindo wa nywele fupi maarufu kwa jina la ‘low cut’ inaongezeka siku hadi siku.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ripoti: Hatari inayowanyemelea wanawake kutokana na kasi ya kujifungua kwa upasuaji

>Wakati idadi ya wanawake wanaojifungua kwa upasuaji ikizidi kuongezeka nchini, utafiti mpya umeonyesha kuwa migogoro baina ya wahudumu wa afya ya uzazi imechangia ongezeko la wajawazito wanaofanyiwa upasuaji bila kuwapo sababu za lazima.

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya wanawake Duniani.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya Akina Mama Duniani zilizofanyika.

Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wanawake duniani 2020: Kwa picha wanawake walivyosherehekea jijini Dar es salaam

Ni wakati wa kizazi cha usawa katika maendeleo endelevu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Vipigo kwa wanawake vikomeshwe

IMEKUWA ni kawaida katika nchi nyingi za Kiafrika na Asia kutokana na mfumo dume ambao umejikita hasa katika nchi hizi wanaume kuwapiga wake zao. Vipigo hivi huwa havichagui elimu, na...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei...

 

5 years ago

Michuzi

Johari Rotana washerekea siku ya wanawake duniani kwa kula chakula cha mchana na wanawake

Wafanyakazi wa hoteli ya Johari Rotana washerekea siku ya wanawake duniani kwa kula chakula cha mchana na wanawake, hii ni kuona mchango wa wanawake katika jamii.Mkurugenzi wa masoko wa hoteli ya Johari Rotana, Dar es Salaam, Brigitte Alfred (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa mauzo ya hoteli Johari Rotana, Amina Kapya (kulia) na Mkurugenzi mtendaji wa CCBRT, Brenda Msangi mara baada ya hafla ya chakula ya mchana iliyoandaliwa na hoteli hiyo kwa ajili ya kusheherekea siku wa wanawake...

 

9 years ago

Michuzi

libeneke la zawadi kwa wenye stika za EFM 93.7 laendelea kwa kasi

 Mshindi mwingine tabasamu na kufarahiya kukabidhiwa zawadi yake na Jimmy Jiam baada yakuonekana kuwa ameweka stika ya EFM kwenye sehemu yake ya bishara huko Kisarawe mkoa wa Pwani ambako kituo hiki pendwa husikika bila kelele wala mikwaruzo.  Mshindi mwingine huko Kisarawe akipewa zawadi yake na Jimmy Jiam na huku Jimmy Jiam akiwa anaongea moja kwa moja yaani  live kupitia masafa ya 93.7 EFM. Jimmy Jiam akimtunza mshindi wa Muziki Mnene bango baada yakuona kuwa ameweka stika za EFM kwenye...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?

EWURA

 

Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei ambayo ni karibia ile ile kwa miezi michache...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani