‘LOW CUT’ unavyobamba wanawake kwa kasi
Ukiwa mdau unayefuatila na kufahamu vizuri masuala ya mitindo utakubaliana nami kwamba wimbi la wanawake wanaonyoa mtindo wa nywele fupi maarufu kwa jina la ‘low cut’ inaongezeka siku hadi siku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Ripoti: Hatari inayowanyemelea wanawake kutokana na kasi ya kujifungua kwa upasuaji
10 years ago
GPLWANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake
Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Siku ya wanawake duniani 2020: Kwa picha wanawake walivyosherehekea jijini Dar es salaam
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI: Vipigo kwa wanawake vikomeshwe
IMEKUWA ni kawaida katika nchi nyingi za Kiafrika na Asia kutokana na mfumo dume ambao umejikita hasa katika nchi hizi wanaume kuwapiga wake zao. Vipigo hivi huwa havichagui elimu, na...
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?
5 years ago
MichuziJohari Rotana washerekea siku ya wanawake duniani kwa kula chakula cha mchana na wanawake
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nmbGK0k3vhY/VdOY4lYeXUI/AAAAAAAHyCk/QGTKocHoe44/s72-c/e1.jpg)
libeneke la zawadi kwa wenye stika za EFM 93.7 laendelea kwa kasi
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmbGK0k3vhY/VdOY4lYeXUI/AAAAAAAHyCk/QGTKocHoe44/s640/e1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0_BQmAUmnY/VdOY4jUklII/AAAAAAAHyCo/t_GFEblvWbE/s640/e2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0OCg5nDpZG8/VdOY_LaRZoI/AAAAAAAHyC0/m5rAewFbnCY/s640/e3.jpg)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Jan
Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?
Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2012/12/ewuuu1.jpg)
EWURA
Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei ambayo ni karibia ile ile kwa miezi michache...