Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


libeneke la zawadi kwa wenye stika za EFM 93.7 laendelea kwa kasi

 Mshindi mwingine tabasamu na kufarahiya kukabidhiwa zawadi yake na Jimmy Jiam baada yakuonekana kuwa ameweka stika ya EFM kwenye sehemu yake ya bishara huko Kisarawe mkoa wa Pwani ambako kituo hiki pendwa husikika bila kelele wala mikwaruzo.  Mshindi mwingine huko Kisarawe akipewa zawadi yake na Jimmy Jiam na huku Jimmy Jiam akiwa anaongea moja kwa moja yaani  live kupitia masafa ya 93.7 EFM. Jimmy Jiam akimtunza mshindi wa Muziki Mnene bango baada yakuona kuwa ameweka stika za EFM kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

libeneke la Muziki mnene bar kwa bar la 93.7 EFM ndani ka kibaha

 Wana 93.7 EFM wakipata ytaswira  na mashabiki wa EFM maeneo ya Kibaha kuwashukuru na kuwatunza kuwapa zawadi kwa kusikiliza vipindi vya kituo hicho cha redio kinachotamba nchini,  ikiwa ni maandalizi ya ujio wa libeneke la Muziki mnene bar kwa bar.  Bango la MUZIKI MNENE lilionekana maeneo ya mjini Kibaha, lilowekwa na mmoja wa mashabiki wa EFM Radio 93.7. 

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na wakazi wa Kata ya Mwamalasa wilayani Kishapu.

 Wakazi wa kijiji cha Ndoleleji  wilayani Kishapu wakimsikiliza kwa makini  Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani). Profesa Muhongo ameahidi kuwapatia umeme kabla  ya tarehe 30 Aprili, mwaka huu.

 Wakazi wa Bubiki wilayani Kishapu wakimkabidhi  Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto)  zawadi ya mbuzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasanii wanunua stika kwa pauni ya England

>Tasnia ya sanaa imeendelea kuandamwa na changamoto nyingi ikiwamo wasanii kununua stika za kazi zao kwa pauni ya Uingereza badala ya shilingi ya Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

libeneke la muziki munene wa efm 93.7 lazidi kuchana anga kila kona nchini

 Kituo cha redio kinachokuja juu kwa kasi nchini Tanzania cha EFM 93.7 kimeendelea na road show yake kabambe inayokwenda kwa jina la MUZIKI MUNENE ambapo kila Jumamosi kinachagua kiota kimoja cha maraha sehemu mbalimbali nchini na kwenda kuwaburudisha wasikilizaji wake wanaoongezeka siku hadi siku. Libeneke hilo lilianzia Bagamoyo Jumamosi ya wiki iliyopita, na Jumamosi ya wiki hii walikuwa Kibaha Container, huko huko mkoa wa Pwani. Msemaji wake Dennis Ssebo anasema mambo ni mswano sana...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?

EWURA

 

Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei ambayo ni karibia ile ile kwa miezi michache...

 

11 years ago

Michuzi

KUKUA KWA KASI KWA BIMA INAYOFUATA MAADILI YA KI-ISLAMU

Katika biashara zinazokua kwa kasi duniani ni biashara ya bima inayofuata maadili ya ki- Islam inayojulikana kama ‘Takaful’. Misingi ya bima inayofuata maadili ya ki - Islam ni ushirikiano wa pande zote zinazohusika ktk biashara hiyo. Washiriki wote katika Takaful watashirikiana katika faida na hasara, kwa mfano, yoyote atakaenunua bima hiyo atakua ni kama mjasiri mali (investor) sambamba na yule anaendesha biashara hiyo (the takaful operator) na pande nyingine zitakazohusika kama vile...

 

10 years ago

Michuzi

Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi? - Mh. Zitto Kabwe

Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei ambayo ni karibia ile ile kwa miezi michache iliyopita.
EWURA,inasemekana, wamesema kuwa bei za hapa nchini hushuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani