libeneke la muziki munene wa efm 93.7 lazidi kuchana anga kila kona nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-LekFfiwwIZY/VCoJgBJIwVI/AAAAAAAGmnI/KNoQPUnUPvg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Kituo cha redio kinachokuja juu kwa kasi nchini Tanzania cha EFM 93.7 kimeendelea na road show yake kabambe inayokwenda kwa jina la MUZIKI MUNENE ambapo kila Jumamosi kinachagua kiota kimoja cha maraha sehemu mbalimbali nchini na kwenda kuwaburudisha wasikilizaji wake wanaoongezeka siku hadi siku. Libeneke hilo lilianzia Bagamoyo Jumamosi ya wiki iliyopita, na Jumamosi ya wiki hii walikuwa Kibaha Container, huko huko mkoa wa Pwani. Msemaji wake Dennis Ssebo anasema mambo ni mswano sana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ClAm1i34ec4/Vi0-W-xLGQI/AAAAAAAICy0/m3wpBSyQTLg/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Muziki munene wa EFM 93.7 Watikisa Tegeta jijini Dar es salaam
10 years ago
Michuzi26 Jun
97.3 EFM SASA KILA KONA YA TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Id4ldASBUw8/Vc0L_fdu21I/AAAAAAAHwdg/1yV9gt8Jg10/s72-c/e1.jpg)
libeneke la Muziki mnene bar kwa bar la 93.7 EFM ndani ka kibaha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Id4ldASBUw8/Vc0L_fdu21I/AAAAAAAHwdg/1yV9gt8Jg10/s640/e1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8ggC6IFL3UU/Vc0L_RitzyI/AAAAAAAHwdY/2riYeMqO-t8/s640/e2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Polisi walaaniwa kila kona nchini
WADAU wa Habari nchini wamelaani kitendo cha askari polisi kuwapiga waandishi wa habari waliokuwa kwenye majukumu yao na kuitaka serikali kuchukua hatua stahili. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeitaka serikali...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YlxKXFmgkEi5F4ATStgYxv7skrUpeNRqIwaewQt4f4RhMMCIZZLfID3VT8yZft42*50bXE-KPbnU4Qj5*khr3V2/NAVY.jpg)
NAVY KENZO WAZIDI KUCHANA ANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ig3NUNdMX8o/Xrjp87sTkjI/AAAAAAALpus/ozNoMaGoJPA4XP0vZL5v45N7bDnW8CsMwCLcBGAsYHQ/s72-c/sukari..jpg)
SUKARI YAZIDI KUADIMIKA NCHINI, WANANCHI WAISAKA KILA KONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ig3NUNdMX8o/Xrjp87sTkjI/AAAAAAALpus/ozNoMaGoJPA4XP0vZL5v45N7bDnW8CsMwCLcBGAsYHQ/s640/sukari..jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KILIO cha kuadimika kwa sukari nchini kimeendelea kushika kasi kutokana na uhaba mkubwa uliopo na wananchi wanapobahatisha kuipata bei yake ni kubwa kwani kilo moja ya sukari inauzwa hadi Sh.4,000 badala ya Sh.2,600.
Kutokana na kuadimika huko wananchi wa maeno mbalimbali nchini wameendelea kupaza sauti zao kwa Serikali kuona hatua inayoweza kuchukua kuhakikisha sukari inapatikana na kwa bei ambayo itakuwa rahisi kuimudu.
Katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na majiji...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
10 years ago
Dewji Blog08 May
Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMTInvMETOk/VUw59V-lecI/AAAAAAAAQCE/vm-0zsAz7sw/s640/DU7C5232.jpg)
Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)