Polisi walaaniwa kila kona nchini
WADAU wa Habari nchini wamelaani kitendo cha askari polisi kuwapiga waandishi wa habari waliokuwa kwenye majukumu yao na kuitaka serikali kuchukua hatua stahili. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeitaka serikali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ig3NUNdMX8o/Xrjp87sTkjI/AAAAAAALpus/ozNoMaGoJPA4XP0vZL5v45N7bDnW8CsMwCLcBGAsYHQ/s72-c/sukari..jpg)
SUKARI YAZIDI KUADIMIKA NCHINI, WANANCHI WAISAKA KILA KONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ig3NUNdMX8o/Xrjp87sTkjI/AAAAAAALpus/ozNoMaGoJPA4XP0vZL5v45N7bDnW8CsMwCLcBGAsYHQ/s640/sukari..jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KILIO cha kuadimika kwa sukari nchini kimeendelea kushika kasi kutokana na uhaba mkubwa uliopo na wananchi wanapobahatisha kuipata bei yake ni kubwa kwani kilo moja ya sukari inauzwa hadi Sh.4,000 badala ya Sh.2,600.
Kutokana na kuadimika huko wananchi wa maeno mbalimbali nchini wameendelea kupaza sauti zao kwa Serikali kuona hatua inayoweza kuchukua kuhakikisha sukari inapatikana na kwa bei ambayo itakuwa rahisi kuimudu.
Katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na majiji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LekFfiwwIZY/VCoJgBJIwVI/AAAAAAAGmnI/KNoQPUnUPvg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
libeneke la muziki munene wa efm 93.7 lazidi kuchana anga kila kona nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-LekFfiwwIZY/VCoJgBJIwVI/AAAAAAAGmnI/KNoQPUnUPvg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Lowassa kila kona
11 years ago
GPLCHAMPIONI KILA KONA
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Majanga kila kona
10 years ago
Habarileo08 May
Mafuriko kila kona
MVUA kubwa iliyonyesha jijini Dar es Salaam kuanzia juzi, imesababisha mafuriko na kuua watu watatu, kuharibu nyumba kadhaa na miundombinu ya barabara na maji katika sehemu mbalimbali.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Kila kona ubaya England
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Kila kona ni Samatta, Ulimwengu