Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUKARI YAZIDI KUADIMIKA NCHINI, WANANCHI WAISAKA KILA KONA


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KILIO cha kuadimika kwa sukari nchini kimeendelea kushika kasi kutokana na uhaba mkubwa uliopo na wananchi wanapobahatisha kuipata bei yake ni kubwa kwani kilo moja ya sukari inauzwa hadi Sh.4,000 badala ya Sh.2,600.

Kutokana na kuadimika huko wananchi wa maeno mbalimbali nchini wameendelea kupaza sauti zao kwa Serikali kuona hatua inayoweza kuchukua kuhakikisha sukari inapatikana na kwa bei ambayo itakuwa rahisi kuimudu.

Katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na majiji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi walaaniwa kila kona nchini

WADAU wa Habari nchini wamelaani kitendo cha askari polisi kuwapiga waandishi wa habari waliokuwa kwenye majukumu yao na kuitaka serikali kuchukua hatua stahili. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeitaka serikali...

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI


  Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .
  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Karibu Music Festival 2015 yaacha gumzo Bagamoyo, Wananchi,Wasanii walipongeza kila kona!

DSC_1426

Wapiga vyombo wa Salabi Band kutoka Kenya wakishambulia jukwaa  usiku wa kuamkia leo Novemba 9, wakati wa kufunga tamasha la Muziki la Karibu Music Festival 2015, katika viwanja vya Mwanakalenge ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa pili. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA] Tamasha la mziki wenye vionjo mbalimbali ikiwemo vile vya ngoma ya asili, utamaduni na kisasa ambalo pia linashirikisha wasanii kutoka ndani ya Tanzania na nje ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. John Pombe Magufuli atikisa jimboni kwake, wananchi waibua shangwe kila kona ya mji

    Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .   Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili jana jioni mjini...

 

10 years ago

Michuzi

libeneke la muziki munene wa efm 93.7 lazidi kuchana anga kila kona nchini

 Kituo cha redio kinachokuja juu kwa kasi nchini Tanzania cha EFM 93.7 kimeendelea na road show yake kabambe inayokwenda kwa jina la MUZIKI MUNENE ambapo kila Jumamosi kinachagua kiota kimoja cha maraha sehemu mbalimbali nchini na kwenda kuwaburudisha wasikilizaji wake wanaoongezeka siku hadi siku. Libeneke hilo lilianzia Bagamoyo Jumamosi ya wiki iliyopita, na Jumamosi ya wiki hii walikuwa Kibaha Container, huko huko mkoa wa Pwani. Msemaji wake Dennis Ssebo anasema mambo ni mswano sana...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI

  Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo akitokea mkoani Mwanza ambako nako alipita kujitambulisha na kuwashukuru wakazi wa jiji hilo ambao nao walijitokeza kwa wingi. Kufuatia ujio wa Dkt Magufuli ndani ya mji wa Chato kuliibuka shamra shamra za mapokezi zilizokuwa zikirindima kila pande wakifurahia uteuzi wa CCM kwa Dkt Magufuli.   ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

9 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Sisimizi ndani ya sukari

Juzi sisi waishiwa tulikutana tena sebuleni mwetu. Kwa bahati nzuri, wale wasakasupu hawakuwepo. Baada ya Mwishiwa Supu kuamuru hakuna kupewa bakuli ya dezo zaidi ya moja, wachache walisusa eti. Bila bakuli tatu na minofu kibao hawako tayari kukaa na kujadili mambo muhimu ya taifa letu na waishiwa wenzetu.

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI KILA KONA

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Abdulsalama Amer (Sas gas) akimsikiliza mmoja wa waasisi wa Chama cha Tanu na aliyewahi kuwa katibu wa Tawi la Tundu Kidodi wa chama hicho, Bi. Faina Ngwira (80) alipokuwa akisoma Gazeti la Championi, mbunge huyo alikuwa kwenye ziara ya kukagua mradi wa maji safi kwenye kata hiyo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, hivi karibuni. (Picha: Fadhil Chitembedja) ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani