SUKARI YAZIDI KUADIMIKA NCHINI, WANANCHI WAISAKA KILA KONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ig3NUNdMX8o/Xrjp87sTkjI/AAAAAAALpus/ozNoMaGoJPA4XP0vZL5v45N7bDnW8CsMwCLcBGAsYHQ/s72-c/sukari..jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KILIO cha kuadimika kwa sukari nchini kimeendelea kushika kasi kutokana na uhaba mkubwa uliopo na wananchi wanapobahatisha kuipata bei yake ni kubwa kwani kilo moja ya sukari inauzwa hadi Sh.4,000 badala ya Sh.2,600.
Kutokana na kuadimika huko wananchi wa maeno mbalimbali nchini wameendelea kupaza sauti zao kwa Serikali kuona hatua inayoweza kuchukua kuhakikisha sukari inapatikana na kwa bei ambayo itakuwa rahisi kuimudu.
Katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na majiji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Polisi walaaniwa kila kona nchini
WADAU wa Habari nchini wamelaani kitendo cha askari polisi kuwapiga waandishi wa habari waliokuwa kwenye majukumu yao na kuitaka serikali kuchukua hatua stahili. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeitaka serikali...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6zMmbFl8LUk/VavGy8oyqOI/AAAAAAAC8vM/pCvfqnGKaqQ/s72-c/_MG_8579.jpg)
MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6zMmbFl8LUk/VavGy8oyqOI/AAAAAAAC8vM/pCvfqnGKaqQ/s640/_MG_8579.jpg)
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Chato waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuwashukuru kwa kiasi kikubwa kwa kuchaguliwa kwake katika nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chake kuwania nafasi ya Urais .
![](http://2.bp.blogspot.com/-lRFVNj9yTZ4/Vau-pA-OnQI/AAAAAAAC8ts/aIqCtMNhD7g/s640/_MG_8452.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Karibu Music Festival 2015 yaacha gumzo Bagamoyo, Wananchi,Wasanii walipongeza kila kona!
Wapiga vyombo wa Salabi Band kutoka Kenya wakishambulia jukwaa usiku wa kuamkia leo Novemba 9, wakati wa kufunga tamasha la Muziki la Karibu Music Festival 2015, katika viwanja vya Mwanakalenge ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa pili. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Tamasha la mziki wenye vionjo mbalimbali ikiwemo vile vya ngoma ya asili, utamaduni na kisasa ambalo pia linashirikisha wasanii kutoka ndani ya Tanzania na nje ya...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Dkt. John Pombe Magufuli atikisa jimboni kwake, wananchi waibua shangwe kila kona ya mji
![](http://2.bp.blogspot.com/-6zMmbFl8LUk/VavGy8oyqOI/AAAAAAAC8vM/pCvfqnGKaqQ/s640/_MG_8579.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lRFVNj9yTZ4/Vau-pA-OnQI/AAAAAAAC8ts/aIqCtMNhD7g/s640/_MG_8452.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LekFfiwwIZY/VCoJgBJIwVI/AAAAAAAGmnI/KNoQPUnUPvg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
libeneke la muziki munene wa efm 93.7 lazidi kuchana anga kila kona nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-LekFfiwwIZY/VCoJgBJIwVI/AAAAAAAGmnI/KNoQPUnUPvg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-lRFVNj9yTZ4/Vau-pA-OnQI/AAAAAAAC8ts/aIqCtMNhD7g/s72-c/_MG_8452.jpg)
DKT JOHN POMBE MAGUFULI ATIKISA JIMBONI KWAKE CHATO,WANANCHI WAIBUA SHANGWE KILA KONA YA MJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lRFVNj9yTZ4/Vau-pA-OnQI/AAAAAAAC8ts/aIqCtMNhD7g/s640/_MG_8452.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3tKtyKsln-I/Vau-qnLKz1I/AAAAAAAC8t0/eJVOnEK7sFA/s640/_MG_8477.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
KONA YA MAKENGEZA : Sisimizi ndani ya sukari
11 years ago
GPLCHAMPIONI KILA KONA