Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini

Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert  litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei  kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

EFM kuongoza Sherehe za Miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kituo cha redio cha 93.7 E-Fm, Denis Ssebo (kati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya sherehe za kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya Msanii Juma Kassim Kiroboto "Juma Nature" (kulia) yatakayoambatana ya sherehe za mwaka mmoja za Kituo cha redio cha 93.7 E-Fm.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Kituo cha redio cha 93.7 E-Fm, Lydia MoyoMsanii Juma Kassim Kiroboto "Juma Nature" (kulia) akizungumzia sherehe hizo.

 

10 years ago

GPL

EFM KUPAMBA MIAKA 16 YA JUMA NATURE KWENYE MUZIKI

Mkurugenzi wa Mahusiano wa Redio  Efm, Dennis Sebbo akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Msanii wa muziki wa kizazi kipya Juma Nature akifuatilia maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani). Afisa Uhusiano wa Redio Efm, Lydia Moyo akifuatilia jambo kwa umakini.…

 

10 years ago

GPL

DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE

Inspector Haroun 'Babu' akifanya makamuzi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene ndani ya Dar Lve jana.…

 

9 years ago

Bongo5

Kituo cha redio cha Hits FM, Zanzibar chavamiwa na kuchomwa moto

Coke

Kituo cha redio cha Hits FM cha visiwani Zanzibar, kimevamiwa na watu wasiojulikana na kuchomwa moto.

12308679_1177170362297453_505009909615889248_n
Studio za Hits FM baada ya kuchomwa moto

Naibu Kamishna wa Polisi visiwani humo, Salim Msangi ameiambia Radio One kuwa tukio hilo lilitokea saa saba na dakika 40 usiku.

Amesema watu hao waliofika kwenye studio hizi walimdhibiti mtangazaji huyo na kumziba mdomo na macho na kisha kutumia mito na makochi yalikuwepo hapo kukichoma.

Mtangazaji huyo aliyekuwa peke yake, alisema watu hao walikuwa...

 

9 years ago

Michuzi

Kikosi cha muziki mnene cha EFM 93.7 chatoka sare na mlandizi veteran

 Timu ya soka ya Muziki Mnene ya EFM 93.7 (jezi nyeupe) wikiendi iliyopita ilikuwa Mlandizi mkoani Pwani kucheza mchezo wa kirafiki na Mlandizi Veteran ambapo matokeo yalikuwa 0-0. Hiyo ni katika mwendelezo wa kupeleka muziki mnene wa kituo hicho machachari cha redio kwa wananchi, Nahodha wa Muziki Mnene Dennis Ssebo akiongoza kikosi kazi chake kusalimiana na wenyeji wao Mlandizi veterans kabla ya kuanza kwa mtanange wao huko MlandiziWananchi wakishudia mpambano wa Muziki Mnene na Mlandizi...

 

11 years ago

Mwananchi

JUMA NATURE: Nyota wa muziki aliyejisomesha kwa kuokota, kuuza vyuma chakavu na vitumbua

>Historia yoyote huwa na msingi wake. Uwe wa kitu au mtu, historia hujengeka kutokana na matukio iwe ya kusikitisha, kusisimua, kufariji hata kutia moyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau wapongeza kituo cha Redio 5 kwa kuanzisha kampeni ya ‘Kapu la Pasaka’

unnamed

Wafanyakazi wa kituo cha Redio 5 cha jijini  Arusha wakikatishaa mitaa kumsakata mshindi wa kapu la Pasaka ,eneo hili linafahamika kwa jina la kwa Morombo na ni maarufu kwa uchomaji wa nyama ya mbuzi.

unnamed (1)

Mshindi maarufu kwa jina la Sule akipokea zawadi katika Kampeni ya Kapu la Pasaka inayoendeshwa na kituo cha Redio 5, baada ya kuwa msikilizaji mzuri wa vipindi mbalimbali vinavyoendeshwa na kituo hicho,kulia ni Ashura Mohamed na Hilda Kinabo watangazaji wa Redio 5 ,Bw.Sule ni kinyozi maarufu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja

IMG_5019

Wateja wakisikiliza mazungumzo mojakwamoja Baina ya mteja na muhudumu wetu katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter)  IMG_5004 IMG_4911 Mkuu wa idara ya Huduma kwa wateja, Ndugu Zaeem Khan akikabidhi kadi za kipaumbele kwa wateja waliohudhuria hafla hiyo. IMG_5035 Wateja waliopata nafasi ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) wakipata maelekezo kuhusu huduma za Tigo. picha 02 Picha ya pamoja ya Wafanyakazi  na wateja wa Tigo waliotembelea kituo cha Huduma kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani