Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini
Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NCgCraIBOQU/VUutED9AZQI/AAAAAAAHWNc/ly010DrcIhM/s72-c/DSCF2245.jpg)
EFM kuongoza Sherehe za Miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature
![](http://3.bp.blogspot.com/-NCgCraIBOQU/VUutED9AZQI/AAAAAAAHWNc/ly010DrcIhM/s640/DSCF2245.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AmFfKIHqioM/VUutEAhmygI/AAAAAAAHWNg/gV3YA0OUTTo/s640/DSCF2234.jpg)
10 years ago
GPLEFM KUPAMBA MIAKA 16 YA JUMA NATURE KWENYE MUZIKI
10 years ago
GPLDAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
9 years ago
Bongo503 Dec
Kituo cha redio cha Hits FM, Zanzibar chavamiwa na kuchomwa moto
![Coke](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Coke-300x194.jpg)
Kituo cha redio cha Hits FM cha visiwani Zanzibar, kimevamiwa na watu wasiojulikana na kuchomwa moto.
Studio za Hits FM baada ya kuchomwa moto
Naibu Kamishna wa Polisi visiwani humo, Salim Msangi ameiambia Radio One kuwa tukio hilo lilitokea saa saba na dakika 40 usiku.
Amesema watu hao waliofika kwenye studio hizi walimdhibiti mtangazaji huyo na kumziba mdomo na macho na kisha kutumia mito na makochi yalikuwepo hapo kukichoma.
Mtangazaji huyo aliyekuwa peke yake, alisema watu hao walikuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LYxsiSPD9fE/VfbKuLBVo7I/AAAAAAAH4wU/OOAa7B6lHLU/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Kikosi cha muziki mnene cha EFM 93.7 chatoka sare na mlandizi veteran
![](http://1.bp.blogspot.com/-LYxsiSPD9fE/VfbKuLBVo7I/AAAAAAAH4wU/OOAa7B6lHLU/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mhVL90WeXQI/VfbKuHKLa9I/AAAAAAAH4wQ/XGeH6DcfudU/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g5AvLUCCofI/VfbKv9nCJPI/AAAAAAAH4wc/sY5vZBMKH_w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8Pcwf5OgxU/U288bmIru8I/AAAAAAAAYFM/EbLLH3fGX4Y/s72-c/TMT+TVP.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Aug
JUMA NATURE: Nyota wa muziki aliyejisomesha kwa kuokota, kuuza vyuma chakavu na vitumbua
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Wadau wapongeza kituo cha Redio 5 kwa kuanzisha kampeni ya ‘Kapu la Pasaka’
Wafanyakazi wa kituo cha Redio 5 cha jijini Arusha wakikatishaa mitaa kumsakata mshindi wa kapu la Pasaka ,eneo hili linafahamika kwa jina la kwa Morombo na ni maarufu kwa uchomaji wa nyama ya mbuzi.
Mshindi maarufu kwa jina la Sule akipokea zawadi katika Kampeni ya Kapu la Pasaka inayoendeshwa na kituo cha Redio 5, baada ya kuwa msikilizaji mzuri wa vipindi mbalimbali vinavyoendeshwa na kituo hicho,kulia ni Ashura Mohamed na Hilda Kinabo watangazaji wa Redio 5 ,Bw.Sule ni kinyozi maarufu...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)