97.3 EFM SASA KILA KONA YA TANZANIA
KATIKAkuhakikisha kuwa msikilizaji wa Efm kupitia kipindi chake cha Joto la Asubuhi anapata taarifa za kutosha na zilizosheheni masuala mbalimbali ya Kijamii, kuanzia Juni 29, Jumatatu, kitakuwa na habari kutoka mikoa mbalimbali nchini katika kipengele cha kona zote.
Msimamizi Mkuu wa Kipindi hicho Dennis Ssebo ameitonya Blog ya Jamii kuwa tofauti na utaratibu wa kuripoti matukio uliozoeleka Joto la asubuhi litakuwa likizimulika na kuzichambua habari hizo zilizoandikwa na wabobezi wa mambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LekFfiwwIZY/VCoJgBJIwVI/AAAAAAAGmnI/KNoQPUnUPvg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
libeneke la muziki munene wa efm 93.7 lazidi kuchana anga kila kona nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-LekFfiwwIZY/VCoJgBJIwVI/AAAAAAAGmnI/KNoQPUnUPvg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8nqqUDk9e6w/VJ1KsdOXz4I/AAAAAAAG53I/tcL-BVvMT_U/s72-c/001.DAR%2BLIVE.jpg)
Vodacom Tanzania ilivyowarusha wateja wake kila kona ya jiji la Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-8nqqUDk9e6w/VJ1KsdOXz4I/AAAAAAAG53I/tcL-BVvMT_U/s1600/001.DAR%2BLIVE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aAPUmIVDmq0/VJ1Ksif7SeI/AAAAAAAG53E/j7cwn4OycMg/s1600/002.DAR%2BLIVE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJHs49uOfqI/VJ1KujJ2oEI/AAAAAAAG53g/xc1nCKIYtYU/s1600/007.COCO%2BBEACH.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZBqjmlVEFhS6HP7f*MfSgE-VnuQLhDjkKPHsEO01Aneo-jkhcBx2IqOx4l-LAUtoCOGlHScgfoZEeEcAIdqTXd/001.DARLIVE.jpg)
VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KONA YA JIJI LA DAR
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
11 years ago
GPLCHAMPIONI KILA KONA
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Majanga kila kona
10 years ago
Habarileo08 May
Mafuriko kila kona
MVUA kubwa iliyonyesha jijini Dar es Salaam kuanzia juzi, imesababisha mafuriko na kuua watu watatu, kuharibu nyumba kadhaa na miundombinu ya barabara na maji katika sehemu mbalimbali.
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Lowassa kila kona
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Vurugu, ubabe kila kona