Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?
Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi?
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2012/12/ewuuu1.jpg)
EWURA
Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa kawaida wa mafuta ikiwemo wenye daladala na kupelekea nauli za usafiri wa umma kupungua. Leo bado bei ya mafuta kwenye vituo vya mafuta ni tshs 2029 kwa Petroli na 1909 kwa dizeli, bei ambayo ni karibia ile ile kwa miezi michache...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l6TLzhhBmFM/VKklcK6cjaI/AAAAAAAG7Js/qkEl7Leu1rU/s72-c/unnamed.jpg)
Kwanini Bei ya mafuta kwa walaji haishuki kwa kasi? - Mh. Zitto Kabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-l6TLzhhBmFM/VKklcK6cjaI/AAAAAAAG7Js/qkEl7Leu1rU/s1600/unnamed.jpg)
EWURA,inasemekana, wamesema kuwa bei za hapa nchini hushuka...
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?
10 years ago
MichuziMada ya mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia na athari zake kwa nchi yawasilishwa kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
Vijimambo08 Jan
Mada kuhusu mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia na athari zake kwa nchi yawasilishwa kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje
Bw. Allan William mtaalamu wa sekta za kibenki nchini, akizungumza katika mhadhara na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa juu ya Mwenendo wa bei za mafuta duniani na athari zake kwa nchi yetu, mhadhara huo umefanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa JNICC uliopo jijini Dar es Salaam mapema leo Asubuhi.
Balozi Simba Yahaya, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati (wa kwanza kulia), Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kutoka kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na...
10 years ago
StarTV07 Jan
EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya Mafuta.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petrol, Dizel na ya taa katika masoko yote ya jumla na rejareja.
comprar kamagra baratoKushuka kwa bei hizo kunatokana na kuporomoka kwa thamani ya dola katika soko la dunia hali iliyosababisha bei ya mafuta kuwa dola 60 kwa pipa moja badala ya dola 100 ya awali.
Akitangaza kushuka kwa bei hizo Mkurugenzi Mtendaji wa EWURA Felix Ngamlagosi amesema...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Ewura yaleta faraja kwa watumiaji, bei za mafuta zashuka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0dv8wiBhgsg/Xud1lHqFXeI/AAAAAAALt5U/IcV7ONRg6iMe6_U_YGNPaL3Ca-UCe4zaQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.14.46%2BPM.jpeg)
DK KALEMANI ATOA ONYO KWA WAFANYABIASHARA WATAKAOPANDISHA BEI YA MAFUTA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0dv8wiBhgsg/Xud1lHqFXeI/AAAAAAALt5U/IcV7ONRg6iMe6_U_YGNPaL3Ca-UCe4zaQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.14.46%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-N1jRYo7UY6o/Xud1mN9Mt5I/AAAAAAALt5c/cc2SecC2ueAhZMA0F2v3b4LaqCBGwxDhwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.15.32%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wa mafuta watakaokaidi maagizo yake kwa kuuza mafuta kwa bei kubwa tofauti na bei elekezi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nqqwi-P4Www/XusMi8PnJUI/AAAAAAALuX0/k0WRPcszNeMyM2-WobGzHwoiFBPN3aSyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BASHUNGWA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUENDELEA KUNUFAIKA KUSHUKA KWA BEI YA MAFUTA"
Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amezielekeza FCC, EWURA, WMA kufanya ukaguzi na kuwachukulia hatua wafanyabiashara na waagizaji wa mafuta wanaoficha bidhaa hiyo kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu yatakapoadimika au kupanda bei.
Waziri Bashungwa aliyasema Juni 17, 2020 jijini Dar es salaam katika kikao kazi na Watendaji wa Mamlaka za Tume ya Ushindani (FCC), Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Wakala...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Mfumuko wa bei watishia walaji