DK KALEMANI ATOA ONYO KWA WAFANYABIASHARA WATAKAOPANDISHA BEI YA MAFUTA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0dv8wiBhgsg/Xud1lHqFXeI/AAAAAAALt5U/IcV7ONRg6iMe6_U_YGNPaL3Ca-UCe4zaQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B4.14.46%2BPM.jpeg)
Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani akizungumza na watendaji wa Wizara yake na Wandishi wa habari leo jijini Dodoma.
Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo kuhusiana na bei ya mafuta ambapo amewataka wafanyabiashara kufuata bei elekezi iliyopangwa na Serikali.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wa mafuta watakaokaidi maagizo yake kwa kuuza mafuta kwa bei kubwa tofauti na bei elekezi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Nkurunziza atoa onyo kwa wapinzani Burundi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNVZlvYLyCKBewLk7wKyCXWASqAvX2NmchP0PmkdJDbGGt6*c*8ITC6zlzgSOKhmv1lpDkwUCxBGLb7Nnc1ZLl2s/141022063029_isisisilmosul__512x288_ap.jpg?width=650)
KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIKA SHERIA NA KUTOA MAELEKEZO KWA NEMC
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
10 years ago
VijimamboKAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani (Trafic), Mohamed Mpinga , ameonya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, alisema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema,...