WAZIRI ZUNGU ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIKA SHERIA NA KUTOA MAELEKEZO KWA NEMC
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu akiongea na wadau katika kikao cha kukuza uelewa wa Sheria na Utekelezaji wa Kanuni ya Katazo la Mifuko ya Plastiki kwa Wazalishaji, waingizaji, wasambazaji na wauzaji wa Mifuko mbadala ya Plastiki. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa LAPF, Jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha (kushoto) Ni Mkurugenzi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samwel Gwamaka, Bi. ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aE_F3-FoGS8/U8l3cdORocI/AAAAAAAF3gU/TmoGR6rwqRU/s72-c/unnamed+(78).jpg)
Waziri wa Mazingira atoa onyo kali kwa kiwanda cha NIDA Textile Mills Ltd kwa kukiuka taratibu za usafi
![](http://4.bp.blogspot.com/-aE_F3-FoGS8/U8l3cdORocI/AAAAAAAF3gU/TmoGR6rwqRU/s1600/unnamed+(78).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zOhR2A0mxtQ/U8l3cm9gz0I/AAAAAAAF3gY/UfnTAlFvHtc/s1600/unnamed+(80).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tMNMUEhIXXk/U8l3c5CO0YI/AAAAAAAF3gc/CcQx-XJewds/s1600/unnamed+(81).jpg)
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TaQrZA64zMM/XtPUMkBYcYI/AAAAAAALsJ8/KyjqrXyrX-Ua0jF5UbbNP6NyGLTAESnzQCLcBGAsYHQ/s72-c/fcb01361-5e86-4a68-ba27-ddb77d881bcb.jpg)
NAIBU WAZIRI OLE NASHA AVITAKA VYUO VIKUU KUTOA MAELEKEZO YA KUJIKINGA NA CORONA KWA WANAFUNZI
Naibu Waziri Ole Nasha ametoa maelekezo hayo jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kukagua namna Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilivyoandaa mazingira kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya CORONA kwa wanafunzi kuelekea kuanza masomo Juni 1,...
5 years ago
MichuziUHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIMBO LA MKURUNGA WASABABISHA NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA KUTOA MAELEKEZO KWA TARURA
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega amefanya ziara katika kata mbilimbali za jimbo hilo kwa lengo la kukagua miundombinu ya barabara ilivyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Kutokana na uharibifu huo Ulega amemtaka Meneja wa Wakala wa Ujenzi wa Barabara Vijijini (TARURA) kutafuta namna ya kuhakikisha barabara hizo zinapitika.
Akizungumza hivi karibuni jimboni humo na baadhi ya wananchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i-ktBm0jjoI/XveR6GYla-I/AAAAAAALvss/AevYk9TQ02YtB1wvPibV7MNm_FmEYVG3wCLcBGAsYHQ/s72-c/1AAA-1-768x512.jpg)
WAZIRI ZUNGU AKUTANA NA MENEJIMENTI YA NEMC NA WADAU WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i-ktBm0jjoI/XveR6GYla-I/AAAAAAALvss/AevYk9TQ02YtB1wvPibV7MNm_FmEYVG3wCLcBGAsYHQ/s640/1AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2AAA-1-1024x682.jpg)
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine