MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-4
![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAJU9LjvazTgNzFsVMPWKy76-0uyRQvqPvLDoxrjJ1X2z4vrTkdx2TsQRCtZbrCFqesBGT*n6XZCWSfTpbhYtSeI/gonjwa.jpg)
Tumalizie makala yetu kwa kueleza athari za magonjwa ya ngono yasipotibiwa mapema: Kijana wa kike hupatwa na tatizo la kuziba mirija ya uzazi ambapo husababisha ama mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi au ugumba; maambukizi katika mfuko wa uzazi; kupata magonjwa katika viungo muhimu mwilini; magonjwa ya moyo na mishipa ya damu, kansa ya kizazi, mabadiliko ya hedhi na mwishowe Ukimwi. Lakini pia si vibaya tukieleza athari kwa kijana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0KPVocO1UuSrh0lS-gtdXnbjmK1R4qT7z*Y68cCdyXE-mKA4keLUTZixYeqAnALg9mfu5WtFYIb58jsoDoG92tt/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GaHBm8z*H6F*GskM3TlTZJO0BR04LSqHyb5b9dkLAfcK5YNrH5-hvSlWbWJjL65Gb1rbRJ-VEmBwAabf4fCE7Wz/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YoqhN--8jZesU9wgnAPgZRTRLggXDvL5dhRG3Hgvyp1HBpXpZI1xnFXCQyf0mNXmybazV*oa53K6hFrNKeyVzj4JKIWbuo0J/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-3
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Haya ni magonjwa saba hatari yanayodhibitiwa kwa chanjo (2)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmrdm-TJyXCrgz-td4n6Y8WR4j6iH*g*bVNi*UTEv7OlBjzioOJLuVA2gs0LNZTu3zox-jK0VcXmc2r6jx024M4*/ppt001.jpg?width=650)
MAGONJWA NYEMELEZI KWA WANAWAKE-5
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0SHPl9xiZKEU9JSnma*s16be-DLiHMKCuzprWatsw17ZQO6e023Ox1WQnnuyVqI*zftYNNsNbOYEqVzYv*s1okT/url.jpg?width=650)
MAGONJWA NYEMELEZI KWA WANAWAKE- 6
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Viatu hatari kwa afya ya miguu ya wanawake
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Magonjwa hatari yatokanayo na kujamiiana
Nitakuwa nayachambua magonjwa mbalimbali hatari yatokanayo na kujamiiana ambayo kitaalam huitwa Sexually Transmitted Diseases (STD) ili tuweze kujiepusha nayo na wale ambao wanasumbuliwa na magonjwa hayo waweze kuyatibu na kujiepusha kuwaambukiza wengine.
Ifahamike kuwa magonjwa yote ya zinaa huathiri wanawake na wanaume lakini baadhi ya magonjwa hayo huwa na madhara zaidi kwa wanawake, hii ni kwa sababu pale mjamzito anapokuwa na ugonjwa wa zinaa, baadhi ya magonjwa hayo huweza pia...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Magonjwa hatari yatokanayo na kujamiiana- 2
TULIANZA wiki iliyopita kueleza magonjwa hatari ya kujamiiana, leo tunaendelea kueleza tukijikita zaidi kufafanua yanavyoambukiza, tukianza na kisonono, endelea…
Mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa huwa hazionekani mapema kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.Watu wengi huhisi kuwa, kitendo cha kubusiana kwa ‘kula denda’ni salama, lakini si kama wanavyofikiria kwani baadhi ya magonjwa kama kaswende, herpes na mengine, yanaweza kuambukizwa kupitia njia hii.
Kondomu au mipira ya kiume...