Magonjwa hatari yatokanayo na kujamiiana
Nitakuwa nayachambua magonjwa mbalimbali hatari yatokanayo na kujamiiana ambayo kitaalam huitwa Sexually Transmitted Diseases (STD) ili tuweze kujiepusha nayo na wale ambao wanasumbuliwa na magonjwa hayo waweze kuyatibu na kujiepusha kuwaambukiza wengine.
Ifahamike kuwa magonjwa yote ya zinaa huathiri wanawake na wanaume lakini baadhi ya magonjwa hayo huwa na madhara zaidi kwa wanawake, hii ni kwa sababu pale mjamzito anapokuwa na ugonjwa wa zinaa, baadhi ya magonjwa hayo huweza pia...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Magonjwa hatari yatokanayo na kujamiiana- 2
TULIANZA wiki iliyopita kueleza magonjwa hatari ya kujamiiana, leo tunaendelea kueleza tukijikita zaidi kufafanua yanavyoambukiza, tukianza na kisonono, endelea…
Mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa huwa hazionekani mapema kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.Watu wengi huhisi kuwa, kitendo cha kubusiana kwa ‘kula denda’ni salama, lakini si kama wanavyofikiria kwani baadhi ya magonjwa kama kaswende, herpes na mengine, yanaweza kuambukizwa kupitia njia hii.
Kondomu au mipira ya kiume...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0KPVocO1UuSrh0lS-gtdXnbjmK1R4qT7z*Y68cCdyXE-mKA4keLUTZixYeqAnALg9mfu5WtFYIb58jsoDoG92tt/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAJU9LjvazTgNzFsVMPWKy76-0uyRQvqPvLDoxrjJ1X2z4vrTkdx2TsQRCtZbrCFqesBGT*n6XZCWSfTpbhYtSeI/gonjwa.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-4
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YoqhN--8jZesU9wgnAPgZRTRLggXDvL5dhRG3Hgvyp1HBpXpZI1xnFXCQyf0mNXmybazV*oa53K6hFrNKeyVzj4JKIWbuo0J/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-3
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
WHO:Magonjwa ya Kitropiki hatari zaidi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GaHBm8z*H6F*GskM3TlTZJO0BR04LSqHyb5b9dkLAfcK5YNrH5-hvSlWbWJjL65Gb1rbRJ-VEmBwAabf4fCE7Wz/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Haya ni magonjwa saba hatari yanayodhibitiwa kwa chanjo (2)
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Ukosefu wa makazi unachochea hatari ya kupata magonjwa ya akili
9 years ago
Mwananchi14 Aug
VYAKULA NA MAGONJWA: Hatari ya kumnyonyesha mtoto maziwa ya kopo