Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haya ni magonjwa saba hatari yanayodhibitiwa kwa chanjo (2)

Katika mfululizo wa makala hizi za chanjo muhimu za magonjwa, leo maelezo yatajikita kwenye magonjwa matano, pepopunda, kifaduro, dondakoo, surua na homa ya ini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yafahamu magonjwa saba yanayozuilika kwa chanjo-1

Chanjo ni mojawapo ya mbinu za kitabibu kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa mbalimbali yanayoikabili jamii.

 

5 years ago

Michuzi

LICHA YA JANGA LA CORONA, HUDUMA ZA CHANJO NA UFUATILIAJI WA MAGONJWA YANAYOZUILIKA KWA CHANJO ZAENDELEA KWA UANGALIFU MKUBWA TANGA

Ofisa Mradi wa Ofisi ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, Richard Magodi akipitia data za chanjo kwenye mfumo maalumu wa kieletroniki wakati wa ziara maalum ya muongozo wa kujikinga na COVID19 kwa watoa huduma za chanjo katika kituo cha Chanjo Zabanati ya Bushiri, Pangani Mkoani Tanga.


Ofisa Mradi wa Ofisi ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, Richard Magodi akipitia data za chanjo kwenye mfumo maalumu wa kieletroniki wakati wa ziara maalum ya muongozo wa kujikinga na COVID19 kwa watoa huduma za chanjo...

 

10 years ago

GPL

MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE

KUNA magonjwa mengi ya hatari kwa wanawake ambayo huwakumba kwenye viungo vya uzazi na dalili za kuyatambua ni nyingi japokuwa wanaume pia huweza kupatwa na matatizo hayo. DALILI KWA WANAWAKE
Kwa upande wa wanawake, wanaweza kutambua kwamba wana ugonjwa ambao utaathiri viungo vya uzazi kwa kutokwa na majimaji au ute kwenye uke. Wanawake wanapaswa kutafuta msaada wa kimatibabu kwa daktari wakigundua lolote kati ya haya...

 

10 years ago

GPL

MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-2

WIKI iliyopita tulielezea magonjwa hatari kwa wanawake lakini pia huweza kuwakumba wanaume wengi wakajifunza kutokana na mada ile. Leo tutaeleza tabia zinazoweza kuchochea maambukizi ya magonjwa hayo hasa yale ya ngono.
Njia moja kubwa ya kuenea magonjwa ya ngono ni ya kujamiiana bila kutumia kinga ya kondomu. Vijana wengi hasa wa kike hukosa ujasiri wa kusisitiza matumizi ya kondomu kwa kuhofia kuachwa na wapenzi wao. Wengine...

 

10 years ago

GPL

MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-4

Tumalizie makala yetu kwa kueleza athari za magonjwa ya ngono yasipotibiwa mapema: Kijana wa kike hupatwa na tatizo la kuziba mirija ya uzazi ambapo husababisha ama mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi au ugumba; maambukizi katika mfuko wa uzazi; kupata magonjwa katika viungo muhimu mwilini; magonjwa ya moyo na mishipa ya damu, kansa ya kizazi, mabadiliko ya hedhi na mwishowe Ukimwi. Lakini pia si vibaya tukieleza athari kwa kijana...

 

10 years ago

GPL

MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-3

Leo naendelea kuelezea kuhusu magonjwa hatari kwa wanawake, lengo likiwa kukuelimisha kuhusiana na maradhi hayo. ATHARI YA KUTOTIBIWA MAPEMA MAGONJWA YA NGONO
Magonjwa haya ya ngono yasipotibiwa mapema na kwa usahihi yanaweza kuleta athari zifuatazo kwa mgonjwa. KWA WANAWAKE
Kwa mwanamke anaweza kupata tatizo la kuziba mirija ya uzazi na kukumbwa na tatizo la mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi au kutozaa kabisa. Mgonjwa wa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATANGAZA BEI ELEKEZI YA CHANJO 13 ZA MAGONJWA YA MIFUGO


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Profesa Amandus Muhairwa baada ya kuiziduia bodi hiyo na kupokea taarifa ya kutangazwa kwa bei elekezi ya Chanjo Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) baada ya uzinduzi wa Bodi ya TVLA Makao...

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Magonjwa ya Kitropiki hatari zaidi

Shirika la Afya duniani,WHO limeanzisha Kampeni ya kutoa uelewa kuhusu magonjwa 17 ya kitropiki

 

9 years ago

Global Publishers

Magonjwa hatari yatokanayo na kujamiiana- 2

TULIANZA wiki iliyopita kueleza magonjwa hatari ya kujamiiana, leo tunaendelea kueleza tukijikita zaidi kufafanua yanavyoambukiza, tukianza na kisonono, endelea…

Mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa huwa hazionekani mapema kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.Watu wengi huhisi kuwa, kitendo cha kubusiana kwa ‘kula denda’ni salama, lakini si kama wanavyofikiria kwani baadhi ya magonjwa kama kaswende, herpes na mengine, yanaweza kuambukizwa kupitia njia hii.

Kondomu au mipira ya kiume...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani