MAGONJWA NYEMELEZI KWA WANAWAKE-5
![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmrdm-TJyXCrgz-td4n6Y8WR4j6iH*g*bVNi*UTEv7OlBjzioOJLuVA2gs0LNZTu3zox-jK0VcXmc2r6jx024M4*/ppt001.jpg?width=650)
Tumekuwa tukielezea kuhusu magonjwa nyemelezi kwa wanawake, hata hivyo haya maradhi ya leo yanawahusu pia wanaume. Ugonjwa wa Ngozi: Huu husababishwa na vimelea vya Staphylococcus aureus.Vimelea hivi huishi katika mwili wa binadamu (kwenye ngozi ya kichwa na kinena (groins) na kwapani) bila madhara.Pia hupatikana kooni na katika utumbo mpana na mkojo. Vimelea vya Staphylococcus husambaa kwenda sehemu nyingine ya mwili kutoka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0SHPl9xiZKEU9JSnma*s16be-DLiHMKCuzprWatsw17ZQO6e023Ox1WQnnuyVqI*zftYNNsNbOYEqVzYv*s1okT/url.jpg?width=650)
MAGONJWA NYEMELEZI KWA WANAWAKE- 6
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAJU9LjvazTgNzFsVMPWKy76-0uyRQvqPvLDoxrjJ1X2z4vrTkdx2TsQRCtZbrCFqesBGT*n6XZCWSfTpbhYtSeI/gonjwa.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-4
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YoqhN--8jZesU9wgnAPgZRTRLggXDvL5dhRG3Hgvyp1HBpXpZI1xnFXCQyf0mNXmybazV*oa53K6hFrNKeyVzj4JKIWbuo0J/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GaHBm8z*H6F*GskM3TlTZJO0BR04LSqHyb5b9dkLAfcK5YNrH5-hvSlWbWJjL65Gb1rbRJ-VEmBwAabf4fCE7Wz/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0KPVocO1UuSrh0lS-gtdXnbjmK1R4qT7z*Y68cCdyXE-mKA4keLUTZixYeqAnALg9mfu5WtFYIb58jsoDoG92tt/abnormaluterinebleeding.jpg)
MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0titQto9pPAfXJCRgIF1HHlsg*f1XTiyVeohevMyzhfEz8vE62g1V5bSjMBvLcF5SzJUT7wvtVBHUmYudo4p*3Al/webmd_rf_photo_of_illustration_of_fibroids.jpg?width=650)
MAGONJWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA WANAWAKE
11 years ago
MichuziSerikali kuendelea kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA)
Katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif Rashid katika uzinduzi wa Kongamano la 23 la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa mwaka wa wanachama Chama Cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA).
Kongamano hilo la siku tatu lilianza juzi na linamalizika leo, Dar es salaam ambapo Pinda alisema kuwa...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.
Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...
11 years ago
Michuziprogramu ya upimaji wa Afya kwa wananchi kwa magonjwa yasiyoambukiza