programu ya upimaji wa Afya kwa wananchi kwa magonjwa yasiyoambukiza
Meneja Masoko na Elimu kwa Umma toka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ( NHIF) Bi Anjela Mziray akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu programu ya upimaji wa Afya kwa wananchi kwa magonjwa yasiyoambukiza inayoendeshwa na mfuko huo hapa nchini.kulia ni Meneja Uhakiki na Madai wa mfuko huo Dk.Clement Masanja na kushoto ni Afisa habari ,Idara ya Habari Maelezo Bi Fatma Salum. Meneja Uhakiki na Madai wa mfuko huo Dk.Clement Masanja akiwaeleza waandishi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Jul
WAZIRI MKUU AHIMIZA WANANCHI KUEPUKANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA KUPIMA AFYA ZAO NA KUZINGATIA MTINDO BORA WA MAISHA
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri. Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF kuhusu huduma zinazotolewa na banda la NHIF katika Maonesho ya Wiki ya Serikali za Mitaa viwanja vya Mashujaa Mtwara. Msururu wa wananchi wa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATOA ELIMU YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA WAANDISHI WA HABARI
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure
11 years ago
MichuziWADAU WA PSPF WACHANGAMKIA UPIMAJI AFYA BURE KWA NHIF
BOFYA HAPA KWA...
10 years ago
MichuziNSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KWA WAKAZI WA TANGA
BOFYA...
10 years ago
MichuziTBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
10 years ago
GPLTBL YAFANIKISHA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu, Ofisi ya Rais Utumishi azindua kampeni ya upimaji afya kwa Watumishi