WADAU WA PSPF WACHANGAMKIA UPIMAJI AFYA BURE KWA NHIF
![](http://3.bp.blogspot.com/--PlRNlAqXBc/Uw9EboktjdI/AAAAAAAFQAU/zTcZmDf5hNE/s72-c/1.jpg)
Wadau wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wakipata huduma ya kupimna afya bure kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Wadau wa mkutano huo wakiwa kwenye foleni ya kupima afya bure kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa PSPF uliozinduliwa jana na Rais Mstaafu All Hassan Mwinyi.
Wakipata vipimo vya sukari na shinikizo la damu.
Maofisa kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya na wataalam kutoka Hospitali ya Amana wakitoa huduma kwa wadau hao.
BOFYA HAPA KWA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure
![](http://2.bp.blogspot.com/-buaMBo1cfRI/UuvlzPh5hQI/AAAAAAAFJ_k/FrptGBLZySI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VaCvRIp1-EE/UuvlzAHwH6I/AAAAAAAFJ_o/yJpGC1Jvlgo/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s72-c/unnamedA.jpg)
NHIF yaombwa kuendelea na huduma ya upimaji wa afya bure
![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s1600/unnamedA.jpg)
Na Catherine Kameka
WADAU wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wameuomba Mfuko huo kuendeleza programu za upimaji wa afya bure ili kuwasaidia wanachama wake na wananchi kwa ujumla kujua hali za afya zao lakini...
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
11 years ago
MichuziNHIF yatoa huduma za upimaji afya bure wiki ya Utumishi wa Umma
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s72-c/DR%2BMTULIA.jpg)
NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KWA WAKAZI WA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s320/DR%2BMTULIA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ju0YF97QIaw/VWQppO-Hd-I/AAAAAAAHZ5E/o2Ux775G0u0/s320/MZEE2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nvV8WH15uDA/VWQprMJxIuI/AAAAAAAHZ5c/U7AgQwvk-3k/s320/mzige.jpg)
BOFYA...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
NHIF kutoa huduma za upimaji bure nchini
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jdDH4JQNyr8/U4oIhvENSII/AAAAAAABAGQ/rzFutjcsQrE/s72-c/blog.jpg)
NSSF YAENDESHA KAMBI ZA UPIMAJI WA AFYA BURE KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), limeendesha kambi za upimaji wa Afya Bure kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi hili litaanzia mkoa wa Mara, Manispaa ya Musoma kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo, kuanzia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XLVBtmt_u1c/U6BJo1bDxxI/AAAAAAABA2E/ABYOG87gQK0/s72-c/Blog.jpg)
NSSF YAHITIMISHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KANDA YA ZIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XLVBtmt_u1c/U6BJo1bDxxI/AAAAAAABA2E/ABYOG87gQK0/s1600/Blog.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QW0xJ6wazDs/U6BJny-f7MI/AAAAAAABA1w/zlThcBaKEv0/s1600/Blog+9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UMaavzXYADA/VLfcPC3hTTI/AAAAAAAG9mg/mo31Z4EOp8M/s72-c/DSC_0159.jpg)
NHIF yaendelea kutoa somo kwa wadau wa afya jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UMaavzXYADA/VLfcPC3hTTI/AAAAAAAG9mg/mo31Z4EOp8M/s1600/DSC_0159.jpg)