NSSF YAENDESHA KAMBI ZA UPIMAJI WA AFYA BURE KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jdDH4JQNyr8/U4oIhvENSII/AAAAAAABAGQ/rzFutjcsQrE/s72-c/blog.jpg)
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), limeendesha kambi za upimaji wa Afya Bure kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi hili litaanzia mkoa wa Mara, Manispaa ya Musoma kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo, kuanzia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6R54jMh9ZJ8/U4_5vIce5AI/AAAAAAABAOg/VCZ3_NOTYxk/s72-c/blog+8.jpg)
NSSF YAENDELEA NA KAMBI ZA UPIMAJI AFYA KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), linaendesha kambi za upimaji wa Afya bure kwa wakazi wa kanda ya ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi ambalo lilianzia mkoa wa Mara na kupata mwitiko mkubwa wa wakazi wa Mara kwa kupima...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XLVBtmt_u1c/U6BJo1bDxxI/AAAAAAABA2E/ABYOG87gQK0/s72-c/Blog.jpg)
NSSF YAHITIMISHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KANDA YA ZIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XLVBtmt_u1c/U6BJo1bDxxI/AAAAAAABA2E/ABYOG87gQK0/s1600/Blog.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QW0xJ6wazDs/U6BJny-f7MI/AAAAAAABA1w/zlThcBaKEv0/s1600/Blog+9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s72-c/DR%2BMTULIA.jpg)
NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KWA WAKAZI WA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s320/DR%2BMTULIA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ju0YF97QIaw/VWQppO-Hd-I/AAAAAAAHZ5E/o2Ux775G0u0/s320/MZEE2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nvV8WH15uDA/VWQprMJxIuI/AAAAAAAHZ5c/U7AgQwvk-3k/s320/mzige.jpg)
BOFYA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VSwmG4l8kOo/VWrnXmoGAEI/AAAAAAAHa8c/m5gSHV31JkQ/s72-c/unnamed03.jpg)
NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA WAKAZI WA MANISPAA YA MOSHI
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) limeendelea na zoezi la upimaji afya kwa wananchi, Zoezi hili lililoanzia mkoani Tanga limeendelea kwenye manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro.
Zoezi lililofanyika kwa siku tatu mfululizo limekuwa la mafanikio kwa kuweza kuwafikia watu zaidi ya 900 .
Huduma zilizo kuwa zikitolewa kwenye zoezi ni pamoja na:
• Upimaji wa Shinikizo la damu
• Upimaji wa sukari kwenye damu- Kisukari
• Upimaji wa hali ya lishe (Uwiano wa Urefu kwa uzito)
• Ushauri wa kitaalam...
11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure
![](http://2.bp.blogspot.com/-buaMBo1cfRI/UuvlzPh5hQI/AAAAAAAFJ_k/FrptGBLZySI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VaCvRIp1-EE/UuvlzAHwH6I/AAAAAAAFJ_o/yJpGC1Jvlgo/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s72-c/unnamedA.jpg)
NHIF yaombwa kuendelea na huduma ya upimaji wa afya bure
![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s1600/unnamedA.jpg)
Na Catherine Kameka
WADAU wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wameuomba Mfuko huo kuendeleza programu za upimaji wa afya bure ili kuwasaidia wanachama wake na wananchi kwa ujumla kujua hali za afya zao lakini...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--PlRNlAqXBc/Uw9EboktjdI/AAAAAAAFQAU/zTcZmDf5hNE/s72-c/1.jpg)
WADAU WA PSPF WACHANGAMKIA UPIMAJI AFYA BURE KWA NHIF
![](http://3.bp.blogspot.com/--PlRNlAqXBc/Uw9EboktjdI/AAAAAAAFQAU/zTcZmDf5hNE/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HuDAhW_RlmM/Uw9EcE_9SUI/AAAAAAAFQAc/KRZay2OWrks/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aqmdPXVKZZ4/Uw9Efwrod3I/AAAAAAAFQA0/Q6Mv0lErm1k/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K2rNsgBXoNA/Uw9EgWtPkoI/AAAAAAAFQA4/-ZA1dBl_hKc/s1600/6.jpg)
BOFYA HAPA KWA...
11 years ago
MichuziNHIF yatoa huduma za upimaji afya bure wiki ya Utumishi wa Umma
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
NSSF yatoa huduma za afya bure Maonesho ya Sabasaba
![Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0098.jpg)
Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.
Dk. Suzan Lymo toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam (wa kwanza kulia) akimuhudumia mteja akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF.
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_01042.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma...