NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA WAKAZI WA MANISPAA YA MOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-VSwmG4l8kOo/VWrnXmoGAEI/AAAAAAAHa8c/m5gSHV31JkQ/s72-c/unnamed03.jpg)
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF) limeendelea na zoezi la upimaji afya kwa wananchi, Zoezi hili lililoanzia mkoani Tanga limeendelea kwenye manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro.
Zoezi lililofanyika kwa siku tatu mfululizo limekuwa la mafanikio kwa kuweza kuwafikia watu zaidi ya 900 .
Huduma zilizo kuwa zikitolewa kwenye zoezi ni pamoja na:
• Upimaji wa Shinikizo la damu
• Upimaji wa sukari kwenye damu- Kisukari
• Upimaji wa hali ya lishe (Uwiano wa Urefu kwa uzito)
• Ushauri wa kitaalam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s72-c/DR%2BMTULIA.jpg)
NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KWA WAKAZI WA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s320/DR%2BMTULIA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ju0YF97QIaw/VWQppO-Hd-I/AAAAAAAHZ5E/o2Ux775G0u0/s320/MZEE2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nvV8WH15uDA/VWQprMJxIuI/AAAAAAAHZ5c/U7AgQwvk-3k/s320/mzige.jpg)
BOFYA...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jdDH4JQNyr8/U4oIhvENSII/AAAAAAABAGQ/rzFutjcsQrE/s72-c/blog.jpg)
NSSF YAENDESHA KAMBI ZA UPIMAJI WA AFYA BURE KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), limeendesha kambi za upimaji wa Afya Bure kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi hili litaanzia mkoa wa Mara, Manispaa ya Musoma kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo, kuanzia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XLVBtmt_u1c/U6BJo1bDxxI/AAAAAAABA2E/ABYOG87gQK0/s72-c/Blog.jpg)
NSSF YAHITIMISHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KANDA YA ZIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XLVBtmt_u1c/U6BJo1bDxxI/AAAAAAABA2E/ABYOG87gQK0/s1600/Blog.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QW0xJ6wazDs/U6BJny-f7MI/AAAAAAABA1w/zlThcBaKEv0/s1600/Blog+9.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6R54jMh9ZJ8/U4_5vIce5AI/AAAAAAABAOg/VCZ3_NOTYxk/s72-c/blog+8.jpg)
NSSF YAENDELEA NA KAMBI ZA UPIMAJI AFYA KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), linaendesha kambi za upimaji wa Afya bure kwa wakazi wa kanda ya ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi ambalo lilianzia mkoa wa Mara na kupata mwitiko mkubwa wa wakazi wa Mara kwa kupima...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Ofisi ya Taifa ya Takwimu yaendesha mafunzo ya utafiti wa afya ya uzazi na mtoto na Malaria jijini Moshi, Kilimanjaro
Mgeni rasmi, Mkurugenzi wa Kinga, Dkt. Neema Rusibamayila kutoka Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii akiwahutubia washiriki wa mafunzo ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria Tanzania wa mwaka 2015 yaliyofanyika leo Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu akitoa maelezo ya awali wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Malaria Tanzania wa mwaka 2015 yaliyofanyika leo Moshi,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3gs8pK2Xuhs/Va-jC7z-rTI/AAAAAAAHrFU/caz7MHONI1Q/s72-c/UFUNGUZI%2B1.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAENDESHA MAFUNZO YA UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO NA MALARIA TANZANIA, 2015 MOSHI, KILIMANJARO.
"Kutokana na umuhimu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X267batM7nQ/U5avBvH3NrI/AAAAAAABAoA/Za3w9xOTzjU/s72-c/blog+10.jpg)
NSSF YAPIMA AFYA BURE KWA WAKAZI WA MKOA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-X267batM7nQ/U5avBvH3NrI/AAAAAAABAoA/Za3w9xOTzjU/s1600/blog+10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FqnSpEL65GM/U5avCWvpJkI/AAAAAAABAoI/cl86oYeH3MU/s1600/blog+%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCD180y5kko/U5au4mfZLVI/AAAAAAABAno/4RZ_cfON-F0/s1600/blog+1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s72-c/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAKABIDHI VIFAA YA KUFANYIA USAFI KWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s640/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MJyozD6dt30/VlvN7sPQ6tI/AAAAAAAAXKM/c1CJBF3TWZM/s640/IMG_9788%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s72-c/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HmVT-Elh97o/VXQEGQ4etQI/AAAAAAAAQoE/fYnLAyhZiJU/s640/DSCF5476%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9hDNwimkFyY/VXQEJkbuYRI/AAAAAAAAQoM/C3ZI1FGjYWw/s640/DSCF5477%2B%2528800x600%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Z2JyKI1NzU/VXQEMGrYqfI/AAAAAAAAQoc/rJ2Z2aYTzEk/s640/DSCF5479%2B%2528800x600%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI