NHIF kutoa huduma za upimaji bure nchini
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeanza mkakati wa kupima afya za Watanzania bila malipo nchini nzima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure
![](http://2.bp.blogspot.com/-buaMBo1cfRI/UuvlzPh5hQI/AAAAAAAFJ_k/FrptGBLZySI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VaCvRIp1-EE/UuvlzAHwH6I/AAAAAAAFJ_o/yJpGC1Jvlgo/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s72-c/unnamedA.jpg)
NHIF yaombwa kuendelea na huduma ya upimaji wa afya bure
![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s1600/unnamedA.jpg)
Na Catherine Kameka
WADAU wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wameuomba Mfuko huo kuendeleza programu za upimaji wa afya bure ili kuwasaidia wanachama wake na wananchi kwa ujumla kujua hali za afya zao lakini...
11 years ago
MichuziNHIF yatoa huduma za upimaji afya bure wiki ya Utumishi wa Umma
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Umati kutoa huduma za upimaji saratani bure
CHAMA cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (Umati) kimewashauri wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya upimaji wa maradhi.
Miongoni mwa maradhi hayo ni ya ukosefu wa kinga mwilini (Ukimwi), saratani ya shingo ya kizazi na huduma za uzazi wa mpango katika banda la Umati kwenye Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF).
Ushauri huo umetolewa na Ofisa Habari wa Umati, Josephine Mugishagwe, aliyesema huduma za upimaji wa afya bure zinatolewa, hivyo ni vyema...
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA AGA KHAN YAADHIMISHA MWEZI WA UFAHAMU WA UGONJWA WA SARATANI YA MATITI DUNIANI KWA KUTOA BURE HUDUMA YA UPIMAJI
Mtaalamu wa Saratani katika hospitali hiyo, Dk.Amyn Alidina akizungumza na wanahabari kuhusu ugonjwa huo.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--PlRNlAqXBc/Uw9EboktjdI/AAAAAAAFQAU/zTcZmDf5hNE/s72-c/1.jpg)
WADAU WA PSPF WACHANGAMKIA UPIMAJI AFYA BURE KWA NHIF
![](http://3.bp.blogspot.com/--PlRNlAqXBc/Uw9EboktjdI/AAAAAAAFQAU/zTcZmDf5hNE/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HuDAhW_RlmM/Uw9EcE_9SUI/AAAAAAAFQAc/KRZay2OWrks/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aqmdPXVKZZ4/Uw9Efwrod3I/AAAAAAAFQA0/Q6Mv0lErm1k/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K2rNsgBXoNA/Uw9EgWtPkoI/AAAAAAAFQA4/-ZA1dBl_hKc/s1600/6.jpg)
BOFYA HAPA KWA...
10 years ago
StarTV04 Feb
KCMC, Mbeya kutoa huduma ya upimaji Saratani
Na Blaya Moses,
Dodoma.
Serikali imeanzisha huduma ya upimaji wa saratani katika hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza huduma inayotarajiwa kuanza kupatikana kwenye hospitali ya rufaa ya KCMC na Mbeya
Huduma hiyo inakuja wakati ambapo asimilia 80 ya wananchi hufika kupata tiba katika vituo vya afya hapa nchini wakiwa kwenye hatua za mwisho za ugonjwa huo hali inayotajwa kupunguza uwezekano wa kupona.
Akielezea baadhi ya takwimu za ugonjwa huo kupitia tamko la Wizara mjini Dodoma...
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Watoto Yatima wsa kituo cha Valentine Children Home wapatiwa huduma za upimaji wa afya zao bure!
Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili akimpima afya mtoto Lovenes Masawe kulia ni nesi Mary Hongoli
Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili mpima mtoto Nuru Edward wa kituo cha kulea watoto yatima cha Valentine children home kilichopo yombo buza kulia ni mtoto Clara Olimpia nae akihudumiwa na nesi Mary Hongoli
watoto waliojitokezwa...