Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upasuaji hatari wa kufunga kizazi

Kwa nini wanawake wa India wana mazoea ya kufunga kizazi? Wengi wanafanya hivyo kwa kuwa serikali huwalipa wanaofunz akizazi kupunguza idadi ya watu India

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ripoti: Hatari inayowanyemelea wanawake kutokana na kasi ya kujifungua kwa upasuaji

>Wakati idadi ya wanawake wanaojifungua kwa upasuaji ikizidi kuongezeka nchini, utafiti mpya umeonyesha kuwa migogoro baina ya wahudumu wa afya ya uzazi imechangia ongezeko la wajawazito wanaofanyiwa upasuaji bila kuwapo sababu za lazima.

 

11 years ago

Dewji Blog

Hatari: Tanesco waamua kuchukua uamuzi wa kufunga nyaya juu ya mti baada ya nguzo kuvunjika

unnamed

Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi.

unnamed (1)

Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti.

unnamed (2)

Hizi  ni waya zilizopita chini kabisa katika Geti la mtu na ndani ya miti.

unnamed (3)

Nguzo ya umeme ya TANESCO ikiwa imekatika katika eneo la Jirani na Daraja la Mlalakuwa ambapo ipo mpaka sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi ipo eneo hilo.

unnamed (4)

unnamed (5)

Hii ndio Njia Mbadala waliyo iona TANESCO kutumia kwa kufunga nyaya hizo...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

10 years ago

Vijimambo

Kizazi cha mtandao

Kuongea tena hakuna hata wakati tunapokutana!

 

9 years ago

BBCSwahili

Msanii wa kizazi kipya

Neno moja huweza kubadilisha maisha ya mtu, hayo yamemkuta msanii wa muziki nchini Tanzania

 

11 years ago

GPL

DALILI ZA SARATANI YA KIZAZI

Saratani ya kansa huwa na dalili zake za awali ambazo tutakuja kuziona. Tunapozungumzia saratani ya kizazi tunalenga zaidi saratani ya shingo ya uzazi ‘Carcionoma of Cerix’ na saratani ya mfumo wa uzazi au ‘Endometrial Carcinoma. Saratani ya mfuko wa kizazi hushambulia zaidi tabaka la ndani la kizazi ‘Endometrium’ na kusababisha maumivu ya tumbo kwa muda mrefu na hata tumbo kuvimba. Saratani hii...

 

9 years ago

GPL

KUVIMBA KIZAZI (ADENOMYOSIS)

Hii ni hali ambayo huendana na kizazi kuvimba au kujaa husababishwa na tabaka la ndani la kizazi kuzama katika tabaka la kati. Hapa ieleweke kwamba, kizazi kina tabaka tatu; tabaka la ndani, tabaka la kati na tabaka la nje. Chembe hai za tabaka la ndani huzama ndani kabisa na husambaa katika sehemu yote ya tabaka hilo la kati na kusababisha hali iitwayo ‘Diffuse Adenomyosis’. Vilevile inaweza kukaa humo na kutengeneza vivimbe...

 

10 years ago

BBCSwahili

8 wafariki wakifungwa kizazi India

Wanawake 8 wamefariki na wengine 50 wanaugua baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuwafunga vizazi nchini India.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani