BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!
Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.
Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi.
Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 May
Video: Shimo hatari Barabara ya Ali Hassan Mwinyi lazibwa
LILE Shimo hatari lililokuwa kero kwa watumiaji na kuripotiwa na Global TV Online juzi Jumatatu Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar es Salaam. Ungana na Global TV Online kushuhudia shimo hilo lilivyozibwa!
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
WHO:Magonjwa ya Kitropiki hatari zaidi
11 years ago
Michuzi05 May
shimo hatari barabara ya Ali hassan Mwinyi jijini Dar es salaam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOQ7XpQMuBn5Kifm05xCBUMYJ-PBlf8wRIcZRhcF01NKG4bs3cbZi8RB2OPp1tDnVCySh7eNEx0qAB9z37-SJy98/MESI.jpg?width=650)
Alichokifanya Messi Mapinduzi ni zaidi ya hatari
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Uchawi kuchangamkiwa na wa mjini ni hatari zaidi
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake
10 years ago
Vijimambo09 Dec
WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!
Jumanne yetu ya leo tutakuwa na mada isemayo ‘wanaoficha ‘makucha’ kabla ya ndoa ni hatari zaidi’.
Nimelifungia neno ‘makucha’ kwa sababu kimazoea tunaita hivyo lakini kiuhalisia si makucha ni kucha. Zikiwa nyingi, ikiwa moja ni kucha!
Kuna wanaoficha makucha kabla ya ndoa ni msemo au hoja ambayo ipo miongoni mwa jamii yetu! Wengi hudai wapo wanawake au wanaume wenye tabia hii! Kwamba, kabla hajaolea au hajaoa...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-d-evqmfxIik/U5MEWTRrQXI/AAAAAAAAAps/lfesbpFVj40/s72-c/00.jpg)
KUPERUZI KUPITIA WI-FI NI HATARI ZAIDI KIUSALAMA MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-d-evqmfxIik/U5MEWTRrQXI/AAAAAAAAAps/lfesbpFVj40/s1600/00.jpg)
Haya niliyabainisha wakati nazungumzia changamoto mbali mbali tunazokumbana nazo za kiusalama mtandao kupitia matumizi yasiyo salama ya Wi-Fi yanayo endelea kushika kasi kaika maeneo mbali mbali hivi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oj4MhhoM4fSCIForGdfUCdSaVmQ8mIsgc1p7zTvkvv489z9xD1TLDIXXDZGM0ADisfr1o1ez4TVwb*zUCEGDRjuO3vPhmEeQ/xxlv.jpg)
WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!