KUVIMBA KIZAZI (ADENOMYOSIS)

Hii ni hali ambayo huendana na kizazi kuvimba au kujaa husababishwa na tabaka la ndani la kizazi kuzama katika tabaka la kati. Hapa ieleweke kwamba, kizazi kina tabaka tatu; tabaka la ndani, tabaka la kati na tabaka la nje. Chembe hai za tabaka la ndani huzama ndani kabisa na husambaa katika sehemu yote ya tabaka hilo la kati na kusababisha hali iitwayo ‘Diffuse Adenomyosis’. Vilevile inaweza kukaa humo na kutengeneza vivimbe...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 May
Kuvimba kwa tezi za shingo
10 years ago
Bongo Movies17 May
Mbembe: Wasanii Kuvimba Vichwa Kunaua Filamu
SEIF Mbembe mwigizaji mkongwe anayetamba katika tasnia ya filamu anachukizwa na tabia za baadhi ya wasanii kufika sehemu za kazi na kutumia muda mwingi kuchezea simu na kuwachelewesha wasanii wengine ambao wanakuwa wapo kwa ajili ya kazi na si ubishoo unaofanywa na wasanii wenye majina makubwa.
“Kinachotukutanisha pale ni kazi sasa mtu mwingine anavyoleta utoto na ni mtu mzima haipendezi, wanadharau sana hasa wakiitwa masupa star vichwa vinavimba sana, lakini bila nidhamu katika kazi ni...
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Msanii wa kizazi kipya
10 years ago
Vijimambo11 years ago
GPL
DALILI ZA SARATANI YA KIZAZI
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
8 wafariki wakifungwa kizazi India
10 years ago
GPL
UVIMBE WA KIZAZI (UTERINE FIBROID)
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Muziki wa kizazi kipya Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi
SARATANI ya shingo ya kizazi ambayo kitaalamu huitwa Cervix, ni saratani inayoongoza kwa wingi nchini Tanzania na inawaathiri wanawake wenye umri kati ya miaka 25 na 50. Inachangia asilimia 60...