Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVIMBE WA KIZAZI (UTERINE FIBROID)

Fibroid ni uvimbe unaoota ndani ya kizazi cha mwanamke, uvimbe huu upo kama nyama laini, chanzo halisi cha aina hii ya uvimbe bado hakijulikani lakini ni tatizo linalosumbua zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa.
Umri wa kuzaa ni ule kuanzia pale mwanamke anapovunja ungo hadi anapofikia ukomo wa kuzaa. Umri wa kuvunja ungo ni kati ya miaka kumi na mbili hadi kumi na tano, hapa tunategemea mwanamke anaweza kuvunja ungo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-3

Uvimbe huweza pia kukandamiza viungo jirani na uzazi (pressure effets) ambapo mirija ya mkojo na kibofu cha mkojo na utumbo mkubwa wa haja kubwa na uvimbe unaweza kusababisha usipate choo(consipation) wakati mwingine huweza kusababisha mkojo usitoke (urinal retention), dalili zingine ni kama kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa (dyspararemia), uchafu sehemu za siri na kushindwa kubeba mimba (infertity) asilimia kati ya 27- 40...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA(FIBROID)

uvimbe ambao hujitokeza katika misuri ya mji wa mimba hutokea sana kwa watu weupe (wazungu kwa asilimia 25 na watu weusi ni zaidi ya asilimia 50). Chanzo cha uvimbe kwenye mji wa mimba hakijulikani vizuri isipokuwa kuna vitu vinavyofikiriwa kuwa vinachangia kuleta uvimbe huo. Vichocheo kama vya  estrogens husadikika kusababisha uvimbe kwenye kizazi. Uvimbe huambatana na vichocheo vya estogen ambapo ni chembechembe zinazopokea...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYA MJI WA MIMBA (FIBROID)-2

Naendelea kuelezea dalili  za uvimbe kwenye mji wa mimba ili uweze kuzijua na kuchukua hatua mapema. Dalili hutegemea  na sehemu uvimbe  ulikojishikiza, ukubwa wa uvimbe na kama mama ana ujauzito, uvimbe  huambatana na kutokuwa  na mpangilio wa hedhi  hii hutokea kwa akina mama asilimia 30 ambapo mama huingia kwenye  siku zake mara mbili kwa mwezi au kutoingia kabisa akifuatiwa na kumwaga damu nyingi wakati...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-4

MATIBABU YA UVIMBE KWENYE KIZAZI
Wiki iliyopita tulieleza matatizo ya uvimbe kwenye kizazi. Leo tunafafanua matibabu ya uvimbe kwenye kizazi kwamba hutegemea na vitu mbalimbali kama umri au kama mama ameishawahi kupata ujauzito au kama ni mjamzito. Mgonjwa akiwa na uvimbe wa kizazi daktari anaweza kuangalia dalili alizonazo, ukubwa wa uvimbe  na sehemu ya uvimbe ulikojitokeza.
Kama mgonjwa yupo katika hali mbaya au...

 

9 years ago

GPL

KASORO KATIKA KIZAZI ( UTERINE SEPTUM)

Hii ni hali ambayo mwanamke anazaliwa akiwa na kasoro katika kizazi, ni kasoro ya kuzaliwa nayo ambayo mwanamke mwenyewe hajui. Kizazi hugawanyika katikati toka juu hadi chini. Kizazi chenye kasoro hizi huonekana cha kawaida kwa nje lakini tatizo lipo kwa ndani. Mgawanyiko huu unaweza kukamilika au usifike mwisho. Mwanamke mwenye tatizo hili pia huwa na milango miwili ya kizazi ‘Double Cervix’ na hata kasoro ikiwa...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-2

Aina za uvimbe wa Fibroid
Fibroid zinatofautishwa kutokana na sehemu ilipotokea. Zipo zinazotokea ndani ya mji wa mimba na nyingine zinatokea kwenye kuta za nje ya mji wa mimba. Msomaji tambua kuwa karibu asilimia 75 ya wanawake wenye Fibroid hawajui kama wana tatizo hilo. Si rahisi mtu kuona dalili na kutambua mara moja kuwa ana tatizo la Fibroids. Utambuzi wa dalili za Fibroid hutegemea ukubwa wake na mahali zilipo kwenye...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-3

Kama tulivyokuwa tukipeana elimu ya afya zetu wiki zilizopita, huu  pia ni mwendelezo wa mada ya vimbe katika kizazi cha mwanamke ambapo leo nitaelezea athari zake.  Mara nyingi mwanamke anagundulika na tatizo la Fibroid kama ataenda hospitali kwa lengo la kutafuta ujauzito, niwakumbushe wasomaji kuwa kama unaona una  maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa muda mrefu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kuvurugika kwa...

 

11 years ago

GPL

MAGONJWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA WANAWAKE

Kwa wanawake tatizo lao kubwa ni ‘Fibroid’ ambao ni uvimbe katika sehemu za uzazi (uterus) ambapo hutengenezwa na kambakamba zilizofungamana yaani muscle fibre. Fibroid huanza kwa ukubwa kama punje ya njugu mawe lakini huweza kukua na kuwa kama boga. Fibroid hupatikana zaidi kwa wanawake wa umri kati ya miaka 30 na 40 na hupungua ukubwa mara tu wanapoingia katika umri wa utu uzima, ingawa sababu au chanzo hasa cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Dawa za nywele zinazosababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake

Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani