UVIMBE WA KIZAZI (UTERINE FIBROID)

Fibroid ni uvimbe unaoota ndani ya kizazi cha mwanamke, uvimbe huu upo kama nyama laini, chanzo halisi cha aina hii ya uvimbe bado hakijulikani lakini ni tatizo linalosumbua zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa. Umri wa kuzaa ni ule kuanzia pale mwanamke anapovunja ungo hadi anapofikia ukomo wa kuzaa. Umri wa kuvunja ungo ni kati ya miaka kumi na mbili hadi kumi na tano, hapa tunategemea mwanamke anaweza kuvunja ungo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-3
11 years ago
GPL
UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA(FIBROID)
11 years ago
GPL
UVIMBE KWENYA MJI WA MIMBA (FIBROID)-2
11 years ago
GPL
UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-4
10 years ago
GPL
KASORO KATIKA KIZAZI ( UTERINE SEPTUM)
10 years ago
GPL
UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-2
10 years ago
GPL
UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-3
11 years ago
GPL
MAGONJWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA WANAWAKE
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Dawa za nywele zinazosababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake