Dawa za nywele zinazosababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake
Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0titQto9pPAfXJCRgIF1HHlsg*f1XTiyVeohevMyzhfEz8vE62g1V5bSjMBvLcF5SzJUT7wvtVBHUmYudo4p*3Al/webmd_rf_photo_of_illustration_of_fibroids.jpg?width=650)
MAGONJWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA WANAWAKE
Kwa wanawake tatizo lao kubwa ni ‘Fibroid’ ambao ni uvimbe katika sehemu za uzazi (uterus) ambapo hutengenezwa na kambakamba zilizofungamana yaani muscle fibre. Fibroid huanza kwa ukubwa kama punje ya njugu mawe lakini huweza kukua na kuwa kama boga. Fibroid hupatikana zaidi kwa wanawake wa umri kati ya miaka 30 na 40 na hupungua ukubwa mara tu wanapoingia katika umri wa utu uzima, ingawa sababu au chanzo hasa cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5PAXHc1eRYE0YgItPfKiU-O964JzwBcQ4jXi*UKGad-tOKMhq00SHCQ0MMZ26RO9hWjMfLzWgon3-eaQm0r4DaY/wherefibroidsgrow.jpg?width=650)
UVIMBE WA KIZAZI (UTERINE FIBROID)
Fibroid ni uvimbe unaoota ndani ya kizazi cha mwanamke, uvimbe huu upo kama nyama laini, chanzo halisi cha aina hii ya uvimbe bado hakijulikani lakini ni tatizo linalosumbua zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa.
Umri wa kuzaa ni ule kuanzia pale mwanamke anapovunja ungo hadi anapofikia ukomo wa kuzaa. Umri wa kuvunja ungo ni kati ya miaka kumi na mbili hadi kumi na tano, hapa tunategemea mwanamke anaweza kuvunja ungo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qSAS7eZtx6BbPy*Cql0OViDOPKIuV-bHH-eL6T69XhcK6hdhIflk*hydHm-lSkTPXEvuBFnzJyMx4cPtk8nNwHgKtEeb9SRN/maxresdefault.jpg?width=650)
UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-3
Kama tulivyokuwa tukipeana elimu ya afya zetu wiki zilizopita, huu pia ni mwendelezo wa mada ya vimbe katika kizazi cha mwanamke ambapo leo nitaelezea athari zake. Mara nyingi mwanamke anagundulika na tatizo la Fibroid kama ataenda hospitali kwa lengo la kutafuta ujauzito, niwakumbushe wasomaji kuwa kama unaona una maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa muda mrefu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kuvurugika kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4jbxQJjqoB9wJF*uhldoIjNv1cdQ1ZAVk0ucsNW5VObmBjKg-55nZENu4DkRI*fOyO42lKqCAU51lKdbofnpabB/maxresdefault.jpg?width=650)
UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-2
Aina za uvimbe wa Fibroid
Fibroid zinatofautishwa kutokana na sehemu ilipotokea. Zipo zinazotokea ndani ya mji wa mimba na nyingine zinatokea kwenye kuta za nje ya mji wa mimba. Msomaji tambua kuwa karibu asilimia 75 ya wanawake wenye Fibroid hawajui kama wana tatizo hilo. Si rahisi mtu kuona dalili na kutambua mara moja kuwa ana tatizo la Fibroids. Utambuzi wa dalili za Fibroid hutegemea ukubwa wake na mahali zilipo kwenye...
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Nywele bandia si salama kwa wanawake wa Kinshasa, kulikoni?
Katika mji mkuu wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo(DRC) wanawake wamekua na hofu baada ya wizi wa nywele zao za bandia al maarufu wigi pamoja na za kushonelewa zinazofahamika kama weave kuibiwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL2Zwm5Y8hOHyWFoXgRdQjrkvx6hxncls4vsZJja7sLVZMuhWCs1wr8nWVYOychFoxlp0f60ousQqdDDOqtJ4J7d/ufe_02.gif?width=650)
TAMBUA AINA TOFAUTI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA MWANAMKE-3
Wiki zilizopita nilijadili kuhusu Fibroids, Ovarian cysts yaani uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya uzazi na tatizo la mwanamke kuwa na vijivimbe vingi vidogo vidogo kwenye vifuko vya mayai ya uzazi, tatizo ambalo kitaalamu hujulikana kama Polycystic Ovarian Syndrome ( PCOS). Leo nitamalizia somo hili. Leo ninamalizia somo letu ambalo linahusu kutambua aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi cha mwanamke. Salpingitis
Hili ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YjEdYvzuap8*vAuR0*3oUeRtsAZjLKf6Q1Owab7uHYhmjQr*70p9RHiJloLus7PGYMebOXAMjDdZ5XZtqAIqHvR/human1.jpg?width=650)
KUONDOA KABISA KIZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME
KUNA njia ya kufanya watu wasiweze kuzaa au kutunga mimba kabisa katika maisha yao.
Hii kwa maneno mengine tunaweza kusema ndiyo njia pekee ya kudumu na uhakika ya kuzuia mimba.Vasectomy ni njia ya upasuaji mdogo inayoweza kumfanya mwanaume asiwe na uwezo wa kumpa mimba mwanamke. Tubuligation ni njia ya kumfanya mwanamke asiwe na uwezo wa kushika mimba. Nji zote hizi hufanyika kwa njia ya upasuaji mdogo. Mwanaume...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Dawa ya malaria yatumika kurembesha nywele
>Tabia ya kutumia vitu vyenye kemikali bila ya ushauri wa kitaalamu imeendelea kujijenga miongoni mwa Watanzania, ambapo sasa dawa ya malaria aina ya Metakelfin inatumika kutengeneza kipodozi cha kurembesha nywele.
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Berzosertib: Dawa mpya ya saratani inayozuia uvimbe yawapatia matumaini wagonjwa
Dawa inayoweza kuzuia seli za saratani kujikarabati zenyewe imeonesha ishara za mapema za kufanya kazi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania