Nywele bandia si salama kwa wanawake wa Kinshasa, kulikoni?
Katika mji mkuu wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo(DRC) wanawake wamekua na hofu baada ya wizi wa nywele zao za bandia al maarufu wigi pamoja na za kushonelewa zinazofahamika kama weave kuibiwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Soko la Nywele bandia lashamiri China
Nywele za bandia zina soko kubwa wanunuzi hawawezi kugundua kuwa nywele hizo huchanganywa na manyoya ya Mbuzi
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Dawa za nywele zinazosababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake
Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Habari katika picha: Nywele za kusokota zinavyowavutia wanawake wengi
Maonyesho ya picha za mitindo ya nywele mjini London..
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wanawake 100 salama na saratani ya kizazi
ZAIDI ya wanawake 100 waliojitokeza kupima maambukizi ya ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi katika Jukwaa la Familia Kitchen Party Gala, lililofanyika Dar es Salaam juzi, wamethibitika kutokuwa na ugonjwa huo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YjhIBLT6B-R4l1UFGhdMNs1oJGHt*GeEnINePsWEgtIgbpiX7Wa0N8eOC8ESOWTDQTq*eNYedZe77N*3frIDLS4/kikwe1.jpg?width=650)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ndjili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)Â usiku wa kuamkia leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC) Augustin Matata Ponyo Mapon akimkaribisha na kuzungumza na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika mji mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s72-c/unnamed+(45).jpg)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v6ZETo-IuLo/U23QhIFaHmI/AAAAAAAFgn4/UUvGPi7fo1o/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Nywele ya Lincoln yauzwa kwa dola 25,000
Vitu vya aliyekuwa rais wa 16 wa Marekani Abraham Lincoln vimeuzwa katika mnada Marekani na kupata dola 800,000.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Chagua mtindo sahihi wa nywele kwa ajili ya harusi
Uchaguzi wa mambo mbalimbali yanayohusu harusi ni kitu kinachohitaji umakini mkubwa hasa kwa upande wa wanawake ambao wamekumbwa na changamoto kadhaa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dqhJ3gGbB18/Vai7LrE9BSI/AAAAAAAHqM4/9NsWiYMDMhs/s72-c/6a00e54ee10a2288340192ac6f4d4f970d.jpg)
ZIJUE SABABU KUMI KWA NINI NYWELE ZAKO ZINANYONYOKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dqhJ3gGbB18/Vai7LrE9BSI/AAAAAAAHqM4/9NsWiYMDMhs/s640/6a00e54ee10a2288340192ac6f4d4f970d.jpg)
Kama umegundua nywele zako zinanyonyoka, usi-panic. Sababu inaweza kuwa rahisi. Inaweza kuwa ni ukosefu wa vitamin au sababu za kinasaba ( urithi ). Zifutazo ni sababu kwa nini nywele zako zinanyonyoka:1. StressKila aina ya physical and emotional pain inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. . Ajali ya gari au kufanyiwa upasuaji vinaweza kukusababishia stress ambayo itakuletea kunyonyoka kwa nywele zako. Emotional...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania