Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nywele bandia si salama kwa wanawake wa Kinshasa, kulikoni?

Katika mji mkuu wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo(DRC) wanawake wamekua na hofu baada ya wizi wa nywele zao za bandia al maarufu wigi pamoja na za kushonelewa zinazofahamika kama weave kuibiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Soko la Nywele bandia lashamiri China

Nywele za bandia zina soko kubwa wanunuzi hawawezi kugundua kuwa nywele hizo huchanganywa na manyoya ya Mbuzi

 

11 years ago

Mwananchi

Dawa za nywele zinazosababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake

Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Habari katika picha: Nywele za kusokota zinavyowavutia wanawake wengi

Maonyesho ya picha za mitindo ya nywele mjini London..

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake 100 salama na saratani ya kizazi

ZAIDI ya wanawake 100 waliojitokeza kupima maambukizi ya ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi katika Jukwaa la Familia Kitchen Party Gala, lililofanyika Dar es Salaam juzi, wamethibitika kutokuwa na ugonjwa huo.

 

11 years ago

GPL

JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ndjili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)  usiku wa kuamkia leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC) Augustin Matata Ponyo Mapon akimkaribisha na kuzungumza na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika mji mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ndjili jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)  usiku wa kuamkia leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC) Augustin Matata Ponyo Mapon akimkaribisha na kuzungumza na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika mji mkuu wan chi hiyo Kinshasa kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.Rais...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nywele ya Lincoln yauzwa kwa dola 25,000

Vitu vya aliyekuwa rais wa 16 wa Marekani Abraham Lincoln vimeuzwa katika mnada Marekani na kupata dola 800,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Chagua mtindo sahihi wa nywele kwa ajili ya harusi

Uchaguzi wa mambo mbalimbali yanayohusu harusi ni kitu kinachohitaji umakini mkubwa hasa kwa upande wa wanawake ambao wamekumbwa na changamoto kadhaa.

 

10 years ago

Michuzi

ZIJUE SABABU KUMI KWA NINI NYWELE ZAKO ZINANYONYOKA

   
Kama umegundua  nywele  zako  zinanyonyoka, usi-panic. Sababu  inaweza  kuwa  rahisi. Inaweza kuwa  ni  ukosefu  wa  vitamin  au  sababu  za  kinasaba ( urithi ). Zifutazo  ni  sababu  kwa nini  nywele  zako  zinanyonyoka:1. StressKila  aina  ya   physical and emotional pain   inaweza  kusababisha  kunyonyoka  kwa  nywele.  . Ajali  ya  gari  au  kufanyiwa  upasuaji   vinaweza  kukusababishia  stress  ambayo  itakuletea kunyonyoka  kwa  nywele  zako.   Emotional...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani