Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA(FIBROID)

uvimbe ambao hujitokeza katika misuri ya mji wa mimba hutokea sana kwa watu weupe (wazungu kwa asilimia 25 na watu weusi ni zaidi ya asilimia 50). Chanzo cha uvimbe kwenye mji wa mimba hakijulikani vizuri isipokuwa kuna vitu vinavyofikiriwa kuwa vinachangia kuleta uvimbe huo. Vichocheo kama vya  estrogens husadikika kusababisha uvimbe kwenye kizazi. Uvimbe huambatana na vichocheo vya estogen ambapo ni chembechembe zinazopokea...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-4

MATIBABU YA UVIMBE KWENYE KIZAZI
Wiki iliyopita tulieleza matatizo ya uvimbe kwenye kizazi. Leo tunafafanua matibabu ya uvimbe kwenye kizazi kwamba hutegemea na vitu mbalimbali kama umri au kama mama ameishawahi kupata ujauzito au kama ni mjamzito. Mgonjwa akiwa na uvimbe wa kizazi daktari anaweza kuangalia dalili alizonazo, ukubwa wa uvimbe  na sehemu ya uvimbe ulikojitokeza.
Kama mgonjwa yupo katika hali mbaya au...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA (FIBROID)-3

Uvimbe huweza pia kukandamiza viungo jirani na uzazi (pressure effets) ambapo mirija ya mkojo na kibofu cha mkojo na utumbo mkubwa wa haja kubwa na uvimbe unaweza kusababisha usipate choo(consipation) wakati mwingine huweza kusababisha mkojo usitoke (urinal retention), dalili zingine ni kama kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa (dyspararemia), uchafu sehemu za siri na kushindwa kubeba mimba (infertity) asilimia kati ya 27- 40...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYA MJI WA MIMBA (FIBROID)-2

Naendelea kuelezea dalili  za uvimbe kwenye mji wa mimba ili uweze kuzijua na kuchukua hatua mapema. Dalili hutegemea  na sehemu uvimbe  ulikojishikiza, ukubwa wa uvimbe na kama mama ana ujauzito, uvimbe  huambatana na kutokuwa  na mpangilio wa hedhi  hii hutokea kwa akina mama asilimia 30 ambapo mama huingia kwenye  siku zake mara mbili kwa mwezi au kutoingia kabisa akifuatiwa na kumwaga damu nyingi wakati...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE WA KIZAZI (UTERINE FIBROID)

Fibroid ni uvimbe unaoota ndani ya kizazi cha mwanamke, uvimbe huu upo kama nyama laini, chanzo halisi cha aina hii ya uvimbe bado hakijulikani lakini ni tatizo linalosumbua zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa.
Umri wa kuzaa ni ule kuanzia pale mwanamke anapovunja ungo hadi anapofikia ukomo wa kuzaa. Umri wa kuvunja ungo ni kati ya miaka kumi na mbili hadi kumi na tano, hapa tunategemea mwanamke anaweza kuvunja ungo...

 

11 years ago

GPL

MAGONJWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA WANAWAKE

Kwa wanawake tatizo lao kubwa ni ‘Fibroid’ ambao ni uvimbe katika sehemu za uzazi (uterus) ambapo hutengenezwa na kambakamba zilizofungamana yaani muscle fibre. Fibroid huanza kwa ukubwa kama punje ya njugu mawe lakini huweza kukua na kuwa kama boga. Fibroid hupatikana zaidi kwa wanawake wa umri kati ya miaka 30 na 40 na hupungua ukubwa mara tu wanapoingia katika umri wa utu uzima, ingawa sababu au chanzo hasa cha...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE-3

WIKI mbili zilizopita tulianza kupeana elimu ya kutusaidia kufahamu juu ya tatizo la uvimbe kwenye ovari za mwanamke. Tuliangalia umuhimu wa ovari na kazi zake pia tukagusia kwamba kama ovari hazitakuwa katika ubora wake ni rahisi mwanamke kukosa mzunguzo bora wa hedhi. Leo tuangalie sababu zinazosababisha mwanamke kukumbwa na tatizo hili la uvimbe kwenye ovari.
Zipo sababu nyingi ambazo ni chanzo cha mwanamke kupata tatizo...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE

MSOMAJI karibu tena kwenye ukurasa huu ambao tumekuwa tukipeana elimu juu ya matatizo mbalimbali ambayo yanaisumbua jamii yetu na ulimwengu kwa jumla. Leo ningependa nitoe utangulizi wa mada ambayo itakuwa ikiwekwa katika ukurasa huu kwa majuma kadhaa yajayo. Mada yenyewe inahusu tatizo la uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovari).Watu wengi wamekuwa wakisikia wengine yamewakuta na wengine hawajui lolote kuhusu tatizo hili. Niweke...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE-4

Nikukaribishe mpenzi msomaji katika ukurasa huu wenye elimu ya kukupa ufahamu juu ya afya zetu. Kwa wiki kadhaa tumekuwa tukipeana elimu juu ya uvimbe katika ovari za mwanamke. Tumeangalia aina za uvimbe pia tukaangalia dalili za mwanamke mwenye tatizo hili la uvimbe kwenye ovari. Leo ningependa tuangalie madhara ya uvimbe huo kwa mwanamke mjamzito.
Tatizo la uvimbe kwenye mayai ya mwanamke wakati wa ujauzito pia hutokea. Mara...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uvimbe kwenye mfuko wa mayai wa mwanamke (ovarian cyst)

KARIBU katika kona hii ya afya ili uweze kujua mengi kuhusiana na afya yako. Leo tutaangalia tatizo la uvimbe kwenye mfuko wa mayai kwa mwanamke, kwa kingereza inaitwa (ovarian cyst)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani