Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE-4

Nikukaribishe mpenzi msomaji katika ukurasa huu wenye elimu ya kukupa ufahamu juu ya afya zetu. Kwa wiki kadhaa tumekuwa tukipeana elimu juu ya uvimbe katika ovari za mwanamke. Tumeangalia aina za uvimbe pia tukaangalia dalili za mwanamke mwenye tatizo hili la uvimbe kwenye ovari. Leo ningependa tuangalie madhara ya uvimbe huo kwa mwanamke mjamzito.
Tatizo la uvimbe kwenye mayai ya mwanamke wakati wa ujauzito pia hutokea. Mara...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE

MSOMAJI karibu tena kwenye ukurasa huu ambao tumekuwa tukipeana elimu juu ya matatizo mbalimbali ambayo yanaisumbua jamii yetu na ulimwengu kwa jumla. Leo ningependa nitoe utangulizi wa mada ambayo itakuwa ikiwekwa katika ukurasa huu kwa majuma kadhaa yajayo. Mada yenyewe inahusu tatizo la uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovari).Watu wengi wamekuwa wakisikia wengine yamewakuta na wengine hawajui lolote kuhusu tatizo hili. Niweke...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE-3

WIKI mbili zilizopita tulianza kupeana elimu ya kutusaidia kufahamu juu ya tatizo la uvimbe kwenye ovari za mwanamke. Tuliangalia umuhimu wa ovari na kazi zake pia tukagusia kwamba kama ovari hazitakuwa katika ubora wake ni rahisi mwanamke kukosa mzunguzo bora wa hedhi. Leo tuangalie sababu zinazosababisha mwanamke kukumbwa na tatizo hili la uvimbe kwenye ovari.
Zipo sababu nyingi ambazo ni chanzo cha mwanamke kupata tatizo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uvimbe kwenye mfuko wa mayai kwa mwanamke (ovarian cyst)-2

WIKI iliyopita tuliangalia maana ya uvimbe kwenye mfuko wa mayai, mayai ya mwanamke ni nini na baadhi ya aina ya uvimbe kwenye mfuko wa mayai. Tuliona kuna uvimbe kwenye mfuko...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uvimbe kwenye mfuko wa mayai wa mwanamke (ovarian cyst)

KARIBU katika kona hii ya afya ili uweze kujua mengi kuhusiana na afya yako. Leo tutaangalia tatizo la uvimbe kwenye mfuko wa mayai kwa mwanamke, kwa kingereza inaitwa (ovarian cyst)...

 

11 years ago

GPL

TAMBUA AINA TOFAUTI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA MWANAMKE-3

Wiki zilizopita nilijadili kuhusu Fibroids, Ovarian cysts yaani uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya uzazi na tatizo la mwanamke kuwa na vijivimbe vingi vidogo vidogo kwenye vifuko vya mayai ya uzazi, tatizo ambalo kitaalamu hujulikana kama Polycystic Ovarian Syndrome ( PCOS). Leo nitamalizia somo hili. Leo ninamalizia somo letu ambalo linahusu kutambua aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi cha mwanamke. Salpingitis
Hili ni...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-3

Kama tulivyokuwa tukipeana elimu ya afya zetu wiki zilizopita, huu  pia ni mwendelezo wa mada ya vimbe katika kizazi cha mwanamke ambapo leo nitaelezea athari zake.  Mara nyingi mwanamke anagundulika na tatizo la Fibroid kama ataenda hospitali kwa lengo la kutafuta ujauzito, niwakumbushe wasomaji kuwa kama unaona una  maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa muda mrefu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kuvurugika kwa...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-2

Aina za uvimbe wa Fibroid
Fibroid zinatofautishwa kutokana na sehemu ilipotokea. Zipo zinazotokea ndani ya mji wa mimba na nyingine zinatokea kwenye kuta za nje ya mji wa mimba. Msomaji tambua kuwa karibu asilimia 75 ya wanawake wenye Fibroid hawajui kama wana tatizo hilo. Si rahisi mtu kuona dalili na kutambua mara moja kuwa ana tatizo la Fibroids. Utambuzi wa dalili za Fibroid hutegemea ukubwa wake na mahali zilipo kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

FAHAMU KUHUSU PROGRAMU YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARAZA LA AFRIKA NA FAIDA ZAKE KWA TAIFA


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Ndaki ya Sayansi na Elimu Kampasi ya Solomon Mahlangu Prof. Allen Malisa (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa kuhusu makaburi ya wapigania uhuru wa Afrika Kusini yaliyopo Kampasi ya Solomon Mahlangu Mazibu mkoani Morogoro.

………………………………………………
Na Anitha Jonas – WHUSM

Dar es Salaam.
Katika historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika,Tanzania baada ya kupata uhuru ndiyo nchi iliyosimamia...

 

10 years ago

GPL

UVIMBE KWENYE MJI WA MIMBA(FIBROID)

uvimbe ambao hujitokeza katika misuri ya mji wa mimba hutokea sana kwa watu weupe (wazungu kwa asilimia 25 na watu weusi ni zaidi ya asilimia 50). Chanzo cha uvimbe kwenye mji wa mimba hakijulikani vizuri isipokuwa kuna vitu vinavyofikiriwa kuwa vinachangia kuleta uvimbe huo. Vichocheo kama vya  estrogens husadikika kusababisha uvimbe kwenye kizazi. Uvimbe huambatana na vichocheo vya estogen ambapo ni chembechembe zinazopokea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani