Uvimbe kwenye mfuko wa mayai wa mwanamke (ovarian cyst)
KARIBU katika kona hii ya afya ili uweze kujua mengi kuhusiana na afya yako. Leo tutaangalia tatizo la uvimbe kwenye mfuko wa mayai kwa mwanamke, kwa kingereza inaitwa (ovarian cyst)...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Uvimbe kwenye mfuko wa mayai kwa mwanamke (ovarian cyst)-2
WIKI iliyopita tuliangalia maana ya uvimbe kwenye mfuko wa mayai, mayai ya mwanamke ni nini na baadhi ya aina ya uvimbe kwenye mfuko wa mayai. Tuliona kuna uvimbe kwenye mfuko...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor98796JSQ6VhGiTEQlBC189ccTQIW1Sx4v4kETu1x-Fw9tZm*dWlnChVYMwfWPbEWKIT4B5nYGTEw2PRyDBG8DtR/ovariancystmiraclereview.jpg?width=650)
UVIMBE KATIKA VIFUKO VYA MAYAI (OVARIAN CYST)
Hii ni hali ya mkusanyiko wa maji kuzunguka kifuko cha mayai. Ni ngozi laini na nyepesi juu ya kifuko cha mayai. Kifuko cha mayai huwa kinachipua vifuko vidogovidogo ‘Follicles’ na endapo follicles hizi zitakuwa na ukubwa zaidi ya sentimeta mbili, basi ndiyo huitwa Ovarian Cyst.
Uvimbe unaweza kuwa na ukubwa kuanzia saizi ya punje ya njegere hadi saizi ya ukubwa wa chungwa. Aina nyingi ya uvimbe huu huwa hauumi na...
10 years ago
GPLUVIMBE KATIKA VIFUKO VYA MAYAI (OVARIAN CYST) - 3
MATATIZO KATIKA KORODANI ZA MWANAUME (TESTICULAR FAILURE)
Kazi ya korodani ni kuzalisha mbegu za kiume na homoni za kiume (Testosterone). Kwa hiyo korodani kushindwa kufanya kazi maana yake ni kushindwa kuzalisha mbegu na homoni za kiume.
Chanzo cha tatizo Tatizo hili huwapata baadhi ya wanaume na chanzo chake ni kama vile matumizi ya baadhi ya dawa kwa muda mrefu mfano dawa kama Ketoconazole, Glucocorticoids na dawa za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx218giTEl022YGpffq31A2Z5XFwD*Rf-FLxMLcktn*tIaEZVJmKJOrtU9UjLuiJUF3fY-TzDI-oea8jX6hWRJMu8/NaturalTreatmentsforOvarianCysts1.jpg?width=650)
UVIMBE KATIKA VIFUKO VYA MAYAI (OVARIAN CYST) - 4
Tunamalizia sehemu ya mwisho ya makala yetu inayohusu maumivu yanayotokana na uvimbe.
Vipimo vingine ni vya mifupa ambapo X-ray huonesha mifupa inakuwa myepesi na huvunjika yenyewe hasa kwa watoto na vijana. Homoni zake huwa hazipo katika mpangilio mzuri ambapo hupishana mfano Testosterone huwa chini lakini FSH na LG na Prolactin huwa juu. Kwa watu wazima kiwango cha homoni ya Testosterone hupungua taratibu kadiri umri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSINJJzpMd1Bq8Msseay6jVGBQlnSuozRR1B5l8xzmbgWdPpYpIpbPiWNOlipPRqQZojB61m9suve07C5dPaNsYN/NaturalTreatmentsforOvarianCysts1.jpg?width=650)
UVIMBE KATIKA VIFUKO VYA MAYAI (OVARIAN CYST) - 2
Mtoto mdogo wa kike mwenye uvimbe pamoja na kulalamika maumivu, pia hupata tatizo la kutokwa na mkojo mara kwa mara na kukojoa kitandani, hata kufunga kupata haja kubwa. Uvimbe huu husababisha mwanamke avurugikiwe na mzunguko wa hedhi, apate maumivu kabla ya hedhi au maumivu makali wakati wa hedhi na damu kutoka kwa muda mrefu na kidogokidogo. Huhisi tumbo limejaa, zito au hata tumbo kuvimba upande mmoja au lote. Inaweza kutokea...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6iH7SkCpUaeniBYHwso5K39DG1bu-CZ0xQm8h*xteGZaqrOJ2Hv4Y8XttCohazRA7Hq11CWpf5uXO3hFGdi*3sp/uterinefibroidshowtheyform.jpg)
FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE-4
Nikukaribishe mpenzi msomaji katika ukurasa huu wenye elimu ya kukupa ufahamu juu ya afya zetu. Kwa wiki kadhaa tumekuwa tukipeana elimu juu ya uvimbe katika ovari za mwanamke. Tumeangalia aina za uvimbe pia tukaangalia dalili za mwanamke mwenye tatizo hili la uvimbe kwenye ovari. Leo ningependa tuangalie madhara ya uvimbe huo kwa mwanamke mjamzito.
Tatizo la uvimbe kwenye mayai ya mwanamke wakati wa ujauzito pia hutokea. Mara...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YlK80zuc*whMmxyYkkYYWINbH7qegPvjjT-XTA2hrGdihPPoDWVBi1QPhGS1ajn7zopY2XeY6pI89YxFy8L6I12/abnormaluterinebleeding.jpg)
FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE-3
WIKI mbili zilizopita tulianza kupeana elimu ya kutusaidia kufahamu juu ya tatizo la uvimbe kwenye ovari za mwanamke. Tuliangalia umuhimu wa ovari na kazi zake pia tukagusia kwamba kama ovari hazitakuwa katika ubora wake ni rahisi mwanamke kukosa mzunguzo bora wa hedhi. Leo tuangalie sababu zinazosababisha mwanamke kukumbwa na tatizo hili la uvimbe kwenye ovari.
Zipo sababu nyingi ambazo ni chanzo cha mwanamke kupata tatizo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dUzmnRFV2pVP54jU3Uv2iLEdwFg*kD79wf0qus*ShNlwlDnhE631wh8nYp2FvYCCSp7bXzOLLJ9JVXW-Yi9f5Uk/uterinefibroidshowtheyform.jpg)
FAHAMU KUHUSU UVIMBE KWENYE OVARI KWA MWANAMKE
MSOMAJI karibu tena kwenye ukurasa huu ambao tumekuwa tukipeana elimu juu ya matatizo mbalimbali ambayo yanaisumbua jamii yetu na ulimwengu kwa jumla. Leo ningependa nitoe utangulizi wa mada ambayo itakuwa ikiwekwa katika ukurasa huu kwa majuma kadhaa yajayo. Mada yenyewe inahusu tatizo la uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovari).Watu wengi wamekuwa wakisikia wengine yamewakuta na wengine hawajui lolote kuhusu tatizo hili. Niweke...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL2Zwm5Y8hOHyWFoXgRdQjrkvx6hxncls4vsZJja7sLVZMuhWCs1wr8nWVYOychFoxlp0f60ousQqdDDOqtJ4J7d/ufe_02.gif?width=650)
TAMBUA AINA TOFAUTI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA MWANAMKE-3
Wiki zilizopita nilijadili kuhusu Fibroids, Ovarian cysts yaani uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya uzazi na tatizo la mwanamke kuwa na vijivimbe vingi vidogo vidogo kwenye vifuko vya mayai ya uzazi, tatizo ambalo kitaalamu hujulikana kama Polycystic Ovarian Syndrome ( PCOS). Leo nitamalizia somo hili. Leo ninamalizia somo letu ambalo linahusu kutambua aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi cha mwanamke. Salpingitis
Hili ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania