Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msanii wa kizazi kipya

Neno moja huweza kubadilisha maisha ya mtu, hayo yamemkuta msanii wa muziki nchini Tanzania

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JUST IN: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA,MEZ B AFARIKI DUNIA LEO

Taarifa iliyotufikia mapema leo,inaeleza kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la ‘Chamber Squad’, Moses Bushagama ‘Mez B’, amefariki dunia leo asubuhi huko Mkoani Dodoma baada ya kusumbuliwa na Homa ya mapafu kwa muda mrefu. Taarifa ya kifo cha Mez B zimethibitishwa na mama yake mzazi, na kwamba alikuwa amelazwa kwenye Hospitali ya Mwananchi.
Mez B amewahi kulazwa na kuruhusiwa mara kadhaa katika hospitali ya Dodoma na hivi karibuni alizidiwa na kulazwa mkoani humo mpaka umauti...

 

10 years ago

Vijimambo

MSANII WA KIZAZI KIPYA KEISHA AJITOSA KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM DODOMA,SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA


Repost @kshertzbongoflava Habari za asubuhi ndugu zangu rafiki zangu mashabiki zangu na media zote nchini.najua wengi mnajiuliza maswali mengi sana juu yangu kwanini nimeamua kuingia kwenye siasa lakini leo naomba nifunguke na kuwaambia kitu.mimi kama mlemavu wa ngozi najikubali najipenda na ninajiamini lakini yote tisa napigana kwa uhuru na amani ambayo tunastahili kuipata kutoka nchini kwetu.nilipoanza kupost picha zangu za siasa kuna ambao walinipongeza na kuna ambao walinisema kwamba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muziki wa kizazi kipya DRC.

Mwanamuziki wa kizazi kipya mashariki mwa Congo ameanzisha kampeni kuinusuru jamii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muziki wa kizazi kipya Tanzania

Wanamuziki walio wengi wa kizazi kipya wamejikita katika nyimbo za mapenzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii wa kizazi kipya mnalijua hili?

Unashangaa msanii anatoa wimbo mkali, unakonga nyoyo za mashabiki na kuombwa katika kila kituo cha televisheni na redio lakini ndani ya miezi miwili mitatu unapotea ghafla bila kuaga.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunahitaji kizazi kipya cha wanasiasa

TUNAPOELEKEA ukingoni mwa harakati za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, tuendelee kuitupia macho Tume y

Kitila Mkumbo

 

10 years ago

Mwananchi

Marco Asensio kizazi kipya cha soka la Hispania

Ni wachezaji wachache ambao huwa wanapata nafasi ya kutokea katika ukurasa wa mbele wa gazeti la michezo la Marca nchini Hispania ambalo lina wasomaji wengi, lakini Marco Asencio (18) ametokea kwenye gazeti hilo kwa sababu ya kipaji cha hali ya juu cha kutandaza soka alichonacho.

 

5 years ago

Michuzi

Muziki wa kizazi kipya wa Kiswahil na Kikongo watamba nchini Sweden

Sehemu ya show ya muziki wa Kiswahili na Kikongo huko mjini Linköping Sweden kwenye wiki ya Swedesh Melody festival

 

5 years ago

Michuzi

CFAO Motors wazindua kizazi kipya cha Mercedes Benz


 Mkurugenzi wa Mauzo wa CFAO Motors Tanzania Ltd, Bi. Tharaia Ahmed (katikati) akimkaribisha Mwakilishi wa Asas Group of Companies, Bw. Faraj Abril (kushoto) wakati wa kuwasili kwa wateja na wageni mbalimbali katika hafla ya uzinduzi wa toleo jipya la kizazi cha tano cha Mercedes Benz – Actros Mirror Cam uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Mauzo wa CFAO Motors Tanzania Ltd, Bi. Tharaia Ahmed akiendelea kupokea wageni waalikwa walipokuwa wakiwasili wakati wa hafla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani