Kuvimba kwa tezi za shingo
Ugonjwa huu hufahamika kwa kitaamu kama cervical/neck lympadenopathy . maana yake ni pale uvimbe unapokuwa unazidi sentimita moja, tezi hizi hugawanywa katika makundi matatu, (localized) yaani tezi ambazo zimevimba lakini sehemu moja, tezi zilizosambaa (generalized) sehemu mbalimbali na tezi zitokanazo na ngozi ya shingo (dermatopathic ).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA AFYA KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI, MATITI NA TEZI HUKO NEW YORK.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3K9uvZxk6oU/XqvwY25P-TI/AAAAAAALowA/DlARQbJem8sPwUG94jGZj_yedwgSDz2aQCLcBGAsYHQ/s72-c/e596a04f-eb62-4068-b38c-ee46abdf4d15.jpg)
GEOFREY JULIUS MCHANGA ANAOMBA MSAADA WAKO WA MATIBABU YA MOYO, MAPAFU NA TEZI YA SHINGO KUOKOA MAISHA YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-3K9uvZxk6oU/XqvwY25P-TI/AAAAAAALowA/DlARQbJem8sPwUG94jGZj_yedwgSDz2aQCLcBGAsYHQ/s400/e596a04f-eb62-4068-b38c-ee46abdf4d15.jpg)
KILA Binadamu anapitia mapito aliyoandikiwa na muumba wa Dunia. Kila pito lina njia yake ya kuingia na kutokea.
Tunaamini mpendwa wetu Bwana. GEOFREY JULIUS MCHANGA (Pichani) yupo katika mapito, hakika kwa pamoja tukiungana tutaweza kumsaidia kuwa katika hali yake kama awali.
Kwa sasa msaada wa haraka unahitaji zaidi kuokoa maisha yake akitakiwa kwenda Dar es Salaam (Muhimbili).
Anatakiwa kufanyiwa vipimo zaidi na upasuaji wa matatizo yake yanayomkabili ya maradhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Srh7h7cwtf0/Va1qT8H2jcI/AAAAAAAHqtA/yldXXen3rvc/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAMA SALMA AWASILI NAIROBI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS WA AFRIKA KUHUSU KANSA YA MATITI,SHINGO YA KIZAZI NA TEZI DUME
![](http://1.bp.blogspot.com/-Srh7h7cwtf0/Va1qT8H2jcI/AAAAAAAHqtA/yldXXen3rvc/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ulixjj5K7DM/Va1qTxrdgqI/AAAAAAAHqtY/SeLh4JQ73sA/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60esgxY3tEeuR12q5nVGGNiClfxpXwB02oz9--ChQLDn3V*oEVwtZVo5hK0cUPl3C7wI53Q2Pu6Q9z-KjBNA3FPGS/KIZAZI.jpg?width=650)
KUVIMBA KIZAZI (ADENOMYOSIS)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAGNk0DD5iwUK-TT-u9pgWEvCDGHTZMsUWDGIgd-DBrUnIXLZ6rRSYfoUtrQczx19fW80afM3MLkWXpa*j4*g1bo/SarataniYaTeziDume.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo Movies17 May
Mbembe: Wasanii Kuvimba Vichwa Kunaua Filamu
SEIF Mbembe mwigizaji mkongwe anayetamba katika tasnia ya filamu anachukizwa na tabia za baadhi ya wasanii kufika sehemu za kazi na kutumia muda mwingi kuchezea simu na kuwachelewesha wasanii wengine ambao wanakuwa wapo kwa ajili ya kazi na si ubishoo unaofanywa na wasanii wenye majina makubwa.
“Kinachotukutanisha pale ni kazi sasa mtu mwingine anavyoleta utoto na ni mtu mzima haipendezi, wanadharau sana hasa wakiitwa masupa star vichwa vinavimba sana, lakini bila nidhamu katika kazi ni...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mke aua mume kwa kumvunja shingo
MWANAMKE Etina Silumba (44) mkazi wa kijiji cha Mpemba wilayani Momba anashikiliwa na polisi mkoani Mbeya, kwa tuhuma za kumuua mumewe.
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mtikila achukua fomu ya urais kwa shingo upande
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Azam yaenda Kisiwani Pemba kwa shingo upande