Kizazi cha mtandao
Kuongea tena hakuna hata wakati tunapokutana!
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKITUO CHA HABARI CHA UMOJA WA MATAIFA WASHIRIKI ALHAMISI YA BURUDANI NA KIKUNDI CHA MTANDAO WA VIJANA TEMEKE
Afisa habari wa Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi Stella Vuzo akitoa mada kuu iliyokuwa inahusu malengo ya maendelea ya milenia na kuangalia imefikia wapi kwenye malengo hayo pamoja na kuwaelimisha kuhusu maendeleo endelevu baada ya mwaka 2015(Post 2015 Sustainable Development) iliyotolewa kwa Mtandao wa vijana wa Temeke.
Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa jana iliandaa Alhamisi ya Burudani kwa ajili ya kujifunza kazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa. Kwa kila Alhamis ya mwisho wa mwezi Kituo cha...
Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa jana iliandaa Alhamisi ya Burudani kwa ajili ya kujifunza kazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa. Kwa kila Alhamis ya mwisho wa mwezi Kituo cha...
10 years ago
GPLUVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-2
Aina za uvimbe wa Fibroid
Fibroid zinatofautishwa kutokana na sehemu ilipotokea. Zipo zinazotokea ndani ya mji wa mimba na nyingine zinatokea kwenye kuta za nje ya mji wa mimba. Msomaji tambua kuwa karibu asilimia 75 ya wanawake wenye Fibroid hawajui kama wana tatizo hilo. Si rahisi mtu kuona dalili na kutambua mara moja kuwa ana tatizo la Fibroids. Utambuzi wa dalili za Fibroid hutegemea ukubwa wake na mahali zilipo kwenye...
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa
Mwanamke mmoja nchini Sweden amejifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji.
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Tunahitaji kizazi kipya cha wanasiasa
TUNAPOELEKEA ukingoni mwa harakati za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, tuendelee kuitupia macho Tume y
Kitila Mkumbo
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Casillas: Kizazi cha dhahabu kwisha
Iker Casillas amekiri kwamba kizazi cha dhahabu cha Hispania kimekwisha baada ya kuwa timu ya kwanza ya mabingwa watetezi kuondolewa kutokana na michezo miwili  pekee ya hatua ya makundi.
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Ebola yahatarisha kizazi cha vijana
Rais Sirleaf wa LIberia asema kizazi cha vijana Afrika kiko hatarini kwa sababu ya Ebola, iwapo dunia haikufanya jitihada kubwa
10 years ago
GPLUVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-3
Kama tulivyokuwa tukipeana elimu ya afya zetu wiki zilizopita, huu pia ni mwendelezo wa mada ya vimbe katika kizazi cha mwanamke ambapo leo nitaelezea athari zake. Mara nyingi mwanamke anagundulika na tatizo la Fibroid kama ataenda hospitali kwa lengo la kutafuta ujauzito, niwakumbushe wasomaji kuwa kama unaona una maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa muda mrefu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kuvurugika kwa...
11 years ago
GPLMAGONJWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA WANAWAKE
Kwa wanawake tatizo lao kubwa ni ‘Fibroid’ ambao ni uvimbe katika sehemu za uzazi (uterus) ambapo hutengenezwa na kambakamba zilizofungamana yaani muscle fibre. Fibroid huanza kwa ukubwa kama punje ya njugu mawe lakini huweza kukua na kuwa kama boga. Fibroid hupatikana zaidi kwa wanawake wa umri kati ya miaka 30 na 40 na hupungua ukubwa mara tu wanapoingia katika umri wa utu uzima, ingawa sababu au chanzo hasa cha...
11 years ago
Mwananchi18 May
Njiapanda : Kizazi cha Kompyuta na viongozi ngumbaru kiteknohama...
KILA mtu anazungumzia au kama hazungumzii yumkini ameshasikia watu au vyombo vya habari vikizungumzia juu ya kompyuta, teknohama au tehama au simuakili, ipod, amazon kindle, na mambo kama hayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania