Ebola yahatarisha kizazi cha vijana
Rais Sirleaf wa LIberia asema kizazi cha vijana Afrika kiko hatarini kwa sababu ya Ebola, iwapo dunia haikufanya jitihada kubwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UcGz_zjQP9Y/VhYeQntzAUI/AAAAAAAH9jo/EXKLw5CrnSE/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Kituo cha kisasa cha michezo kwa vijana cha JMK cha Kidongo Chekundu kuzinduliwa Oktoba 19, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-UcGz_zjQP9Y/VhYeQntzAUI/AAAAAAAH9jo/EXKLw5CrnSE/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTmIfFrCtiU/VhYeQWPYbRI/AAAAAAAH9jk/rdXrJiowl5c/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m84sjG2c54I/VhYeQYkAZPI/AAAAAAAH9js/bGqDrIigL4Q/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qSAS7eZtx6BbPy*Cql0OViDOPKIuV-bHH-eL6T69XhcK6hdhIflk*hydHm-lSkTPXEvuBFnzJyMx4cPtk8nNwHgKtEeb9SRN/maxresdefault.jpg?width=650)
UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-3
Kama tulivyokuwa tukipeana elimu ya afya zetu wiki zilizopita, huu pia ni mwendelezo wa mada ya vimbe katika kizazi cha mwanamke ambapo leo nitaelezea athari zake. Mara nyingi mwanamke anagundulika na tatizo la Fibroid kama ataenda hospitali kwa lengo la kutafuta ujauzito, niwakumbushe wasomaji kuwa kama unaona una maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa muda mrefu, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kuvurugika kwa...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Tunahitaji kizazi kipya cha wanasiasa
TUNAPOELEKEA ukingoni mwa harakati za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, tuendelee kuitupia macho Tume y
Kitila Mkumbo
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa
Mwanamke mmoja nchini Sweden amejifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4jbxQJjqoB9wJF*uhldoIjNv1cdQ1ZAVk0ucsNW5VObmBjKg-55nZENu4DkRI*fOyO42lKqCAU51lKdbofnpabB/maxresdefault.jpg?width=650)
UVIMBE KATIKA KIZAZI CHA MWANAMKE-2
Aina za uvimbe wa Fibroid
Fibroid zinatofautishwa kutokana na sehemu ilipotokea. Zipo zinazotokea ndani ya mji wa mimba na nyingine zinatokea kwenye kuta za nje ya mji wa mimba. Msomaji tambua kuwa karibu asilimia 75 ya wanawake wenye Fibroid hawajui kama wana tatizo hilo. Si rahisi mtu kuona dalili na kutambua mara moja kuwa ana tatizo la Fibroids. Utambuzi wa dalili za Fibroid hutegemea ukubwa wake na mahali zilipo kwenye...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Casillas: Kizazi cha dhahabu kwisha
Iker Casillas amekiri kwamba kizazi cha dhahabu cha Hispania kimekwisha baada ya kuwa timu ya kwanza ya mabingwa watetezi kuondolewa kutokana na michezo miwili  pekee ya hatua ya makundi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0titQto9pPAfXJCRgIF1HHlsg*f1XTiyVeohevMyzhfEz8vE62g1V5bSjMBvLcF5SzJUT7wvtVBHUmYudo4p*3Al/webmd_rf_photo_of_illustration_of_fibroids.jpg?width=650)
MAGONJWA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI CHA WANAWAKE
Kwa wanawake tatizo lao kubwa ni ‘Fibroid’ ambao ni uvimbe katika sehemu za uzazi (uterus) ambapo hutengenezwa na kambakamba zilizofungamana yaani muscle fibre. Fibroid huanza kwa ukubwa kama punje ya njugu mawe lakini huweza kukua na kuwa kama boga. Fibroid hupatikana zaidi kwa wanawake wa umri kati ya miaka 30 na 40 na hupungua ukubwa mara tu wanapoingia katika umri wa utu uzima, ingawa sababu au chanzo hasa cha...
10 years ago
Habarileo23 Aug
‘Wanaume wasiotahiriwa chanzo cha saratani ya shingo ya kizazi’
IMEELEZWA kuwa wanawake wanaopata ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi kwa kiasi kikubwa inatokana na kufanya mapenzi na wanaume ambao hawajatahiriwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania