Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ester Kiama: Nammeneji Tu Dude Wala Si Mchepuko Wake

Baada minong’ono kuzagaa kila kona kuwa kuna uhusiano wa kimapenzi kati ya mwigizaji wa kike Ester Kiama na muongozaji na mwigizaji Kulwa Kikumba, mwanadada huyo amekanusha na kudai kuwa yeye ni meneja tu wa msanii huyo na anamsimamia kurudisha Bongo Dar es salaam.

Kweli nipo karibu sana na Dude kikazi na si kimapenzi kama wengine wanavyofikiria, nammeneji tu katika uwezeshaji wa kurudisha kipindi chake cha Bongo Dar es Salaam na masuala ya filamu, tumerekodi sinema yangu ya Ngoma...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ESTER KIAMA: NIMEMMISS DUDE

Gladness Mallya MSANII anayekuja kwa kasi katika anga la filamu Bongo, Ester Kiama ambaye amekuwa akikana kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na Kulwa Kikumba ‘Dude’, amesema hivi sasa anajisikia kum-miss staa huyo anayezunguka katika kampeni za CCM mikoani. Msanii anayekuja kwa kasi katika anga la filamu Bongo, Ester Kiama. Akipiga stori na gazeti hili, Ester alisema Dude alikuwa akimsaidia mambo mengi ikiwa ni pamoja na...

 

10 years ago

GPL

DUDE, ESTER KIAMA KUNA KITU!

Hamida Hassan/mchanganyiko
UKARIBU wa mastaa wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba maarufu kama Dude na msanii mwenzake Ester Kiama unaonyesha kama kuna kitu kati yao baada ya kuonekana kuwa karibu kwa muda mwingi kiasi kinachotia shaka! Staa wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba maarufu kama Dude. Chanzo kilicho karibu na wawili hao kimesema mara kwa mara wanaonekana kuwa karibu kila wanapokwenda na kuonyesha dalili zote za...

 

9 years ago

Global Publishers

Ester Kiama kutolewa kizazi

DSC_3444Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama

Na Imelda Mtema
MASKINI! Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama, huenda akatolewa kizazi baada ya madaktari kugundua uvimbe mkubwa unaosababisha kupatwa na maumivu ya mara kwa mara.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi huku mwili wake ukionekana kupungua, Ester alisema amekuwa akipata maumivu makali ya tumbo kiasi ambacho wakati mwingine hupoteza fahamu kabisa kabla ya kuamua kwenda Hospitali ya Aga Khan kutibiwa.

“Jamani nilikuwa naumwa sana tumbo,...

 

10 years ago

GPL

ESTER KIAMA: BILA MILIONI 5 SIJAOELEWA

Kwenye kiwanda cha filamu Bongo sasa kuna warembo wakali wanaotishia amani wakongwe. Waswahili wanasema, hawavumi sana lakini ni moto wa kuotea mbali kwa uigizaji na muonekano pia.
Safu hii wiki hii imebahatika kumnasa mwanadada anayekwenda kwa jina la Ester Kiama. Amebanwa kwa maswali 10 ambapo bila hiyana alitoa ushirikiano. Ungana na mwandishi wetu Imelda Mtema aliyefanya naye mahojiano. Muigizaji wa filamu Bongo, Ester...

 

10 years ago

GPL

DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO

Na Gladness Mallya
STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza. Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga...

 

10 years ago

GPL

MWIGIZAJI ESTER KIAMA AFUNGUKA GLOBAL TV ONLINE

BONYEZA HAPA ===>GLOBAL TV ONLINE

 

10 years ago

Bongo Movies

Waridi, Dude, Dino Kuja na “MCHEPUKO”

Staa wa Bongo Movies,  Anna Constantino ‘Waridi’ anashuka na mzigo mkali wa filamu mpya ya Mchepuko iliyoshehena mastaa kibao kwa ajili ya kutoa burudani kwa wapenzi wa filamu Bongo filamu hiyo inasambazwa na Proin Promotions ya Jijini Dar.

Mmoja kati ya wasanii washiriki wa filamu hiyo Kulwa Kikumba ‘Dude’ amedai kuwa sinema yao inaonyesha uwezo wa wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood huku akijivunia aina ya uigizaji wa Waridi pamoja na wasanii wengine walioshiriki kutengeneza...

 

9 years ago

GPL

ESTER KIAMA ‘KULA BETHIDEI’ MIKUMI

Hamida Hassan MWANADADA anayekuja kwa kasi katika filamu Bongo, Ester Kiama leo atafanya sherehe ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa katika Mbuga ya Wanyama ya Mikumi, hafla inayodaiwa kuandaliwa kifahari na tajiri wa madini wenye makazi yake mkoani Mwanza. Mwanadada anayekuja kwa kasi katika filamu Bongo, Ester Kiama. Sosi aliye karibu na staa huyo, ambaye sasa ana umri wa miaka 28, aliliambia Risasi Mchanganyiko kuwa Ester...

 

9 years ago

GPL

ESTER, MKE WA DUDE WAPATANISHWA

Imelda Mtema Bifu kwishnei! Wasanii wa filamu Bongo, Eva Dude na Ester Kihama, mapema wiki hii walikutana uso kwa uso katika Hoteli ya Double Tree iliyopo Masaki jijini Dar ambapo mmoja wa watu wao wa karibu aliwakutanisha ili kuwapatanisha.  ....soma zidi===> http://bit.ly/1E7TU82

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani