Ester Kiama: Nammeneji Tu Dude Wala Si Mchepuko Wake
Baada minong’ono kuzagaa kila kona kuwa kuna uhusiano wa kimapenzi kati ya mwigizaji wa kike Ester Kiama na muongozaji na mwigizaji Kulwa Kikumba, mwanadada huyo amekanusha na kudai kuwa yeye ni meneja tu wa msanii huyo na anamsimamia kurudisha Bongo Dar es salaam.
Kweli nipo karibu sana na Dude kikazi na si kimapenzi kama wengine wanavyofikiria, nammeneji tu katika uwezeshaji wa kurudisha kipindi chake cha Bongo Dar es Salaam na masuala ya filamu, tumerekodi sinema yangu ya Ngoma...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO3dO-IitY7qI*EvID3ixIAxeRwa4EI1dHqm8c8TXLUPc4nlRP*ldh8EDzO9MnmE*32XeW11V*o626ErFgjmdPJo/Esta.gif)
ESTER KIAMA: NIMEMMISS DUDE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRHnJwyxc8xpNAYwhv5BsKpI5tIVo-C6n3Jdrghz7kR2Rkpnv*nfVIERFu25KeK147cbx7NIDNPYcboW6tr1Dos/3.jpg)
DUDE, ESTER KIAMA KUNA KITU!
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Ester Kiama kutolewa kizazi
Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama
Na Imelda Mtema
MASKINI! Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama, huenda akatolewa kizazi baada ya madaktari kugundua uvimbe mkubwa unaosababisha kupatwa na maumivu ya mara kwa mara.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi huku mwili wake ukionekana kupungua, Ester alisema amekuwa akipata maumivu makali ya tumbo kiasi ambacho wakati mwingine hupoteza fahamu kabisa kabla ya kuamua kwenda Hospitali ya Aga Khan kutibiwa.
“Jamani nilikuwa naumwa sana tumbo,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7rlPsS8SsNMmqoMdc0p0RP9BcYDyYnJUe6piBbR357EDl1-2AhKtCb5twRpPcdtRBBgPCSoICAH-tKycFpQRArG/ester.jpg)
ESTER KIAMA: BILA MILIONI 5 SIJAOELEWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIlzjLv2MlL3W2SqSTeCjxiCYBdbaVRlBztZLUsaJXvnPoinxEVApx*lCTvUxjkPyuv6G8vpMBsv9MlfHvqKmiid/DUDE.jpg)
DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
10 years ago
GPL01 Jun
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Waridi, Dude, Dino Kuja na “MCHEPUKO”
Staa wa Bongo Movies, Anna Constantino ‘Waridi’ anashuka na mzigo mkali wa filamu mpya ya Mchepuko iliyoshehena mastaa kibao kwa ajili ya kutoa burudani kwa wapenzi wa filamu Bongo filamu hiyo inasambazwa na Proin Promotions ya Jijini Dar.
Mmoja kati ya wasanii washiriki wa filamu hiyo Kulwa Kikumba ‘Dude’ amedai kuwa sinema yao inaonyesha uwezo wa wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood huku akijivunia aina ya uigizaji wa Waridi pamoja na wasanii wengine walioshiriki kutengeneza...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqqUHPGBp8YpJOLwDSIR-xtGFM2CuLbCBCocxv7igN9xxRUsoeHkmGCOCZh0EikIR9Zcgrgfg1ekVLPV-28nMZys/Esta.gif)
ESTER KIAMA ‘KULA BETHIDEI’ MIKUMI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkae6HIaKvzz1ewGDmAhY7UlHPvPo4J8DVSSmSlWFIjYcZeeHd9SOvhhcPsR5ototg94fQ-2TfYDL58EqbHN6*WYt/Dude.gif?width=650)
ESTER, MKE WA DUDE WAPATANISHWA