Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waridi, Dude, Dino Kuja na “MCHEPUKO”

Staa wa Bongo Movies,  Anna Constantino ‘Waridi’ anashuka na mzigo mkali wa filamu mpya ya Mchepuko iliyoshehena mastaa kibao kwa ajili ya kutoa burudani kwa wapenzi wa filamu Bongo filamu hiyo inasambazwa na Proin Promotions ya Jijini Dar.

Mmoja kati ya wasanii washiriki wa filamu hiyo Kulwa Kikumba ‘Dude’ amedai kuwa sinema yao inaonyesha uwezo wa wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood huku akijivunia aina ya uigizaji wa Waridi pamoja na wasanii wengine walioshiriki kutengeneza...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO

Na Gladness Mallya
STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza. Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ester Kiama: Nammeneji Tu Dude Wala Si Mchepuko Wake

Baada minong’ono kuzagaa kila kona kuwa kuna uhusiano wa kimapenzi kati ya mwigizaji wa kike Ester Kiama na muongozaji na mwigizaji Kulwa Kikumba, mwanadada huyo amekanusha na kudai kuwa yeye ni meneja tu wa msanii huyo na anamsimamia kurudisha Bongo Dar es salaam.

Kweli nipo karibu sana na Dude kikazi na si kimapenzi kama wengine wanavyofikiria, nammeneji tu katika uwezeshaji wa kurudisha kipindi chake cha Bongo Dar es Salaam na masuala ya filamu, tumerekodi sinema yangu ya Ngoma...

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’

nikki wa piliRapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili anatarajia kuachia wimbo uitwao Baba Swahele. Amedai kuwa wimbo huo unazungumzia mwanaume bachelor ‘anayeishi ndani ya ndoa.’ “Baba Swalehe ni mtu ambaye anaishi kibachela ndani ya ndoa,” Nick amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Wimbo ukitoka watajua unawezaje kuishi ndani ya ndoa lakini ukiwa unaishi kibachela? […]

 

11 years ago

GPL

DINO AKACHA UIGIZAJI

Na Gladness Mallya
MKALI wa sinema za Kibongo, Denis Swea ‘Dino’ ameamua kuachana na uigizaji akidai haulipi. Denis Swea ‘Dino’. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni jijini Dar, Dino alisema badala ya kuigiza ameamua kurekodi vipindi ambavyo atavirusha katika televisheni kwani angalau inalipa kuliko sinema. “Nimeona bora kuweka pembeni uigizaji na nimeelekeza nguvu zangu zote katika suala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mamluki wamng’oa Dino kwenye filamu

MSANII wa siku nyingi, Dennis Sweya ’Dino’, amesema wingi wa watu walioingia katika tasnia ya filamu huku wengine wakiwa hawana ufahamu wa kihivyo (mamluki) katika tasnia hiyo wamefanya soko kuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Masaibu ya kuzaliwa na jinsia mbili

Kila anapofikiria kutangamana na watu wanaoifahamu hali yake, Sidney Etemesi huwa anaanza kuishiwa na nguvu na ujasiri hata wa kutembea au kutoka nje.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Mwanamke anayedai kufanya ngono na pepo

Vennie Katoti alishindwa kuolewa baada ya kuanza kufanya ngono na mwanaume asiyemuona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: 'Mume wangu alizoea kunilawiti na kunibaka'

Katika maisha yao ya ndoa, kabla mambo hayajabadilika, walikuwa wamejaliwa watoto 11. Baadaye alijaliwa malaika wa 12.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Nilibakwa na wanaume watatu siku ya harusi yangu

Terry Gobanga ni Kasisi aliyepitia madhila ya kubakwa saa kadhaa kabla ya harusi yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani