Mwanafunzi darasa la tatu ajinyonga
MWANAFUNZI wa darasa la tatu shule ya Msingi Mnomo, Kata ya Msangamkuu, Wilaya ya Mtwara Vijijini, Ahmadi Mtuna (10), amefariki dunia baada ya kujinyonga na kamba ya manira katika kenchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.
Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani hakuacha ujumbe wowote.
“Mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mwanafunzi ajinyonga hospitalini
11 years ago
Habarileo14 May
Mwanafunzi sekondari ajinyonga sebuleni
MWANAFUNZI wa kidato cha pili shule ya sekondari ya Mount Igovu, Jimmy Cliff (16) amekutwa amejinyonga katika sebule yao.
10 years ago
Habarileo17 Nov
Mwanafunzi ajinyonga kwa kuzuiwa kuuza ng’ombe
MWANAFUNZI wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Nyandoto wilayani hapa, Peter Mwikwabe (19) amejinyonga kwa kutumia kamba hadi kufa, ikielezwa alikasirishwa na kitendo cha kuzuiwa kuuza ng’ombe wa baba yake.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s72-c/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi aliyefunika hisabati darasa la 7
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s1600/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi bora wa somo la Hisabati katika mitihani ya taifa ya darasa la saba iliyofanyika nchini Septemba mwaka huu, Rachel Kiunsi (13), ameeleza siri ya mafanikio yake kuwa ni kujituma katika masomo na kuwaheshimu walimu.
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana kutoka mkoani Singida, Rachel ambaye alikuwa anasoma shule ya msingi Kimara 'B', jijini...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Mwanafunzi wa darasa la sita aozeshwa
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mwanafunzi wa darasa la tano atoweka nyumbani
MTOTO, Valentina Ngoya (14), Mkazi wa Songambele, Mererani mkoani Manyara anatafutwa na wazazi wake baada ya kuondoka nyumbani kwao tangu Novemba 3 mwaka huu akienda shule. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
MichuziMWANAFUNZI DARASA LA NNE AKATWA MAPANGA NA MFANYAKAZI WA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-_MM7tpmIl2E/U6QJ4FTFCtI/AAAAAAAFr7Q/WGL50Sp5Yuo/s1600/Mama+mzazi+akiwa+na+Mwanafunzi+wa+darasa+la+nne+wa+shule+ya+msingi+Motomoto+kata+ya+Vumilia+wilayani+Urambo+aliyekatwakatwa+mapanga+na+mfanyakazi+wa+nyumbani+kwa+madai+ya+kunyimwa+hela+na+baba+mzazi+wa+mtoto+hu.jpg)
MTOTO Perezi Christian (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne
katika shule ya msingi Motomoto iliyoko katika kata ya Vumilia wilaya
ya Urambo mkoani Tabora amekatwakatwa mapanga mikononi na miguuni na mfanyakazi wa...