Mwanafunzi wa darasa la tano atoweka nyumbani
MTOTO, Valentina Ngoya (14), Mkazi wa Songambele, Mererani mkoani Manyara anatafutwa na wazazi wake baada ya kuondoka nyumbani kwao tangu Novemba 3 mwaka huu akienda shule. Akizungumza na Tanzania Daima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Apr
Msichana darasa la sita atoweka nyumbani
MWANAFUNZI wa darasa la sita shule ya msingi Uhuru, Manispaa ya Arusha, Angel Gerald Mlay (12), Mkazi wa Sokoni One, anatafutwa na wazazi wake, baada ya kutoweka nyumbani katika mazingira ya kutatanisha tangu Jumatatu wiki hii.
11 years ago
MichuziMWANAFUNZI DARASA LA NNE AKATWA MAPANGA NA MFANYAKAZI WA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-_MM7tpmIl2E/U6QJ4FTFCtI/AAAAAAAFr7Q/WGL50Sp5Yuo/s1600/Mama+mzazi+akiwa+na+Mwanafunzi+wa+darasa+la+nne+wa+shule+ya+msingi+Motomoto+kata+ya+Vumilia+wilayani+Urambo+aliyekatwakatwa+mapanga+na+mfanyakazi+wa+nyumbani+kwa+madai+ya+kunyimwa+hela+na+baba+mzazi+wa+mtoto+hu.jpg)
MTOTO Perezi Christian (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne
katika shule ya msingi Motomoto iliyoko katika kata ya Vumilia wilaya
ya Urambo mkoani Tabora amekatwakatwa mapanga mikononi na miguuni na mfanyakazi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9eOXibys_QE/Vn5E3klqo2I/AAAAAAAIOug/FiYoapn-5ec/s72-c/cc5c02c8-0226-4e93-95df-bb2fe084e271.jpg)
MZEE NJEMBA ATOWEKA NYUMBANI KWAKE MAGOMENI MAKUTI, NDUGU WANAMTAFUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9eOXibys_QE/Vn5E3klqo2I/AAAAAAAIOug/FiYoapn-5ec/s400/cc5c02c8-0226-4e93-95df-bb2fe084e271.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s72-c/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi aliyefunika hisabati darasa la 7
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwmS1foBlH8/VFxwthRxx6I/AAAAAAADMik/QSDl6N5rX-k/s1600/RacheKiunsi-November7-2014.jpg)
Mwanafunzi bora wa somo la Hisabati katika mitihani ya taifa ya darasa la saba iliyofanyika nchini Septemba mwaka huu, Rachel Kiunsi (13), ameeleza siri ya mafanikio yake kuwa ni kujituma katika masomo na kuwaheshimu walimu.
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana kutoka mkoani Singida, Rachel ambaye alikuwa anasoma shule ya msingi Kimara 'B', jijini...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Mwanafunzi wa darasa la sita aozeshwa
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mwanafunzi darasa la tatu ajinyonga
MWANAFUNZI wa darasa la tatu shule ya Msingi Mnomo, Kata ya Msangamkuu, Wilaya ya Mtwara Vijijini, Ahmadi Mtuna (10), amefariki dunia baada ya kujinyonga na kamba ya manira katika kenchi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s72-c/20150924075835.jpg)
MSAADA TUTANI: DADA WA NYUMBANI ATOWEKA NA MTOTO LOVENESS COLETHA JULLLU, FAMILIA YAMSAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-WOvPWsGCThQ/VgQSlrmJAiI/AAAAAAAAt48/g6B9oIUi0kk/s640/20150924075835.jpg)
Familia ya Jullu ya Wazo Hill kwa Msabaha jijini Dar es Salaam inaomba msaada kutoka kwa raia wema ili kufanikisha kumpata mtoto wao Loveness Coletha Jullu aliyepotea nyumbani na msichana aliyekuwa akimlea na kusaidia shughuli za nyumbani.Wawili hao hawajaonekana tangu juzi Jumanne. Taarifa zimefikishwa katika kituo cha polisi na RPC wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni amekiri kupata taarifa za tukio hilo.Ikiwa una taarifa zozote zitakazosaidia...
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.
Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani hakuacha ujumbe wowote.
“Mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s72-c/unnamed.jpg)
news alert: binti wa miaka 12 atoweka nyumbani kwao temeke, dar es salam, wazazi wanamtafuta
![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s1600/unnamed.jpg)
Jina: Mwasiti Abdulrazack Kakurwa.
Umri miaka 12. Rangi ya mwili: Mweusi.
Mara ya mwisho alivaa T-shirt iliyoandikwa Mnazi Mmoja primary School, na alijifunika mtandio mweusi. Ametoweka jana jioni maeneo ya mtaa wa Berege, Tandika, Temeke, Dar es salaam.Yeyote atayemuina ama mwenye taarifa zake tunaomba taarifa zipelekwe katika kituo chochote cha polisi ama Kituo cha police tandika, Temeke, na police Chang'ombe, Dar es salaam. Ama kwa Mzazi Abdurazack Kakurwa, namba ya simu 0713 835699, au...