news alert: binti wa miaka 12 atoweka nyumbani kwao temeke, dar es salam, wazazi wanamtafuta
![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s72-c/unnamed.jpg)
Jina: Mwasiti Abdulrazack Kakurwa.
Umri miaka 12. Rangi ya mwili: Mweusi.
Mara ya mwisho alivaa T-shirt iliyoandikwa Mnazi Mmoja primary School, na alijifunika mtandio mweusi. Ametoweka jana jioni maeneo ya mtaa wa Berege, Tandika, Temeke, Dar es salaam.Yeyote atayemuina ama mwenye taarifa zake tunaomba taarifa zipelekwe katika kituo chochote cha polisi ama Kituo cha police tandika, Temeke, na police Chang'ombe, Dar es salaam. Ama kwa Mzazi Abdurazack Kakurwa, namba ya simu 0713 835699, au...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9eOXibys_QE/Vn5E3klqo2I/AAAAAAAIOug/FiYoapn-5ec/s72-c/cc5c02c8-0226-4e93-95df-bb2fe084e271.jpg)
MZEE NJEMBA ATOWEKA NYUMBANI KWAKE MAGOMENI MAKUTI, NDUGU WANAMTAFUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9eOXibys_QE/Vn5E3klqo2I/AAAAAAAIOug/FiYoapn-5ec/s400/cc5c02c8-0226-4e93-95df-bb2fe084e271.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuB8-a3*BRLlcswaEbWFTznY3xaqsIM8icLM2nQ-VlkszXEZqApn5i7LDPX*BAbD2*cbcwbBcu38vCNo7inOGgD3/ergtertertetetetertet.jpg)
WAZAZI WAMTAKA WOLPER AKAISHI NYUMBANI KWAO
10 years ago
MichuziMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
10 years ago
GPLMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
10 years ago
Habarileo02 Mar
Wazazi waliooza binti wa miaka 10 kortini
WAZAZI wa mtoto mwenye umri wa miaka 10 aliyeozwa kwa siri wilayani Bahi, katika Mkoa wa Dodoma, wanafikishwa mahakamani leo kujibu mashitaka yanayowakabili.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UouCQxpjPt4/VWLkGCizu0I/AAAAAAAHZk8/PKNmc_Vuqv4/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
NEWS ALERT: KOMAA CONCERT kuadhimisha miaka 16 ya kukwika kwa msanii JUMA NATURE kufanyika Mei 30, 2015 Dar Live
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s72-c/download.jpg)
news alert: wawili wahukumiwa faini shilingi milioni 15 ama jela miaka 15 kwa ujenzi wa jengo la ghorofa 18 jijini dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s1600/download.jpg)
Washtakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake Richard Maliyaga (55) wote wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Sundi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s72-c/download.jpg)
NEWS ALERT: WATANZANIA 26 WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAREJEA NYUMBANI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-yTfSLkK2CoY/VTuraF-vZ8I/AAAAAAAHTPY/tasQ7SooogU/s1600/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s72-c/20150505052316.jpg)
NEWS ALERT: KUNDI LINGINE LA WATANZANIA 40 WALIOKUWA WAKIISHI NCHINI YEMEN WAREJESHWA NYUMBANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NwCvi8ZZOMM/VUi3LCGbv5I/AAAAAAAHVfE/nW94eGuWKYw/s1600/20150505052316.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wjF8OIOTNvg/VUi3LPrWZ3I/AAAAAAAHVfA/3B3AkHSAIAc/s1600/20150505052316m.jpg)