MZEE NJEMBA ATOWEKA NYUMBANI KWAKE MAGOMENI MAKUTI, NDUGU WANAMTAFUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9eOXibys_QE/Vn5E3klqo2I/AAAAAAAIOug/FiYoapn-5ec/s72-c/cc5c02c8-0226-4e93-95df-bb2fe084e271.jpg)
Ndugu na jamaa wanatarifiwa kwamba Bw. Hemed Mzee Ibrahim "Njemba" (pichani) ametoweka nyumbani kwake Magomeni Makuti mtaa wa Mchinga namba 22 jijini Dar es salam toka siku ya Alhamisi tarehe 24/12/2015. Alionekana mara ya mwisho kwenye msikiti wa Magomeni Makuti muda wa alasiri alipokwenda kuswali, akiwa kavaa balaghashia (kama hiyo pichani), shati la light purple, suruali ya bluu na kandambili za bluu. Baada ya hapo hakurudi nyumbani kwake na hadi sasa hajulikani alipo. Mzee Njemba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s72-c/unnamed.jpg)
news alert: binti wa miaka 12 atoweka nyumbani kwao temeke, dar es salam, wazazi wanamtafuta
![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s1600/unnamed.jpg)
Jina: Mwasiti Abdulrazack Kakurwa.
Umri miaka 12. Rangi ya mwili: Mweusi.
Mara ya mwisho alivaa T-shirt iliyoandikwa Mnazi Mmoja primary School, na alijifunika mtandio mweusi. Ametoweka jana jioni maeneo ya mtaa wa Berege, Tandika, Temeke, Dar es salaam.Yeyote atayemuina ama mwenye taarifa zake tunaomba taarifa zipelekwe katika kituo chochote cha polisi ama Kituo cha police tandika, Temeke, na police Chang'ombe, Dar es salaam. Ama kwa Mzazi Abdurazack Kakurwa, namba ya simu 0713 835699, au...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Balozi wa Iran amtembelea Mzee Mwinyi nyumbani kwake
Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari, inayoonyesha sehemu ya Utamaduni wa Tanzania, wakati alipomtembelea Nyumbani kwake, Mikocheni, Jijini Dar es salaam Disemba 14, 2015.
Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha yake rasmi kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNwNu3YGW84/Vm7WwoO8orI/AAAAAAAIMVM/nXKVnxGAdMQ/s72-c/OTH_4912.jpg)
BALOZI WA IRAN NCHINI AMTEMBELEA MZEE MWINYI NYUMBANI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNwNu3YGW84/Vm7WwoO8orI/AAAAAAAIMVM/nXKVnxGAdMQ/s640/OTH_4912.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M-TLNZu5HjU/Vm7WyP3YAjI/AAAAAAAIMVU/lal5bs7Mmsc/s640/OTH_4897.jpg)
9 years ago
MichuziMAMIA WAMUAGA MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE NA NDUGU ZAKE NYUMBANI KWAKE KIJICHI JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SyHpgjNrXGk/U0vu4FrWxSI/AAAAAAAFalw/yDQAWKSkvkc/s72-c/1.jpg)
MAENDELEO YA MSIBA WA MZEE MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWAKE MABIBO MCHANA WA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-SyHpgjNrXGk/U0vu4FrWxSI/AAAAAAAFalw/yDQAWKSkvkc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7Ibwx6ZZfY/U0vv12zxvJI/AAAAAAAFamw/jg7EwqwBnxs/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s1600/8.jpg)
WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s72-c/_MG_4687.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMJULIA HALI MZEE ISRAELI NAWINGA KIJIJINI KWAKE MASAMA LOSAA WILAYANI HAI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-mv-xGMUXdvo/VQ_lPt-fHdI/AAAAAAAHMW8/34jsuPt4kao/s1600/_MG_4687.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s72-c/8.jpg)
WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA 2014 JIONI YA LEO JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fvGv8TU8E_0/U_hv9Oss-iI/AAAAAAAGBxc/yGrjdBhgez4/s1600/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gQeoSXPxMOg/U_hv87VCiTI/AAAAAAAGBxY/_LLgMeTXUUM/s1600/7.jpg)
Mzee Njenje amewaasa wasanii hao ambao amekiri wazi kuwa wanafanya vizuri katika anga ya muziki wao,kupata muda mwingi wa kupumzika ikiwemo na suala la kutoendekeza masualaua ya anasa kama vile ulevi,ngono na mengineyo ambayo huchangia...
10 years ago
Habarileo17 Apr
Msichana darasa la sita atoweka nyumbani
MWANAFUNZI wa darasa la sita shule ya msingi Uhuru, Manispaa ya Arusha, Angel Gerald Mlay (12), Mkazi wa Sokoni One, anatafutwa na wazazi wake, baada ya kutoweka nyumbani katika mazingira ya kutatanisha tangu Jumatatu wiki hii.