Mwanafunzi ajinyonga hospitalini
Mwanafunzi wa kidato cha tano katika Sekondari ya Ihungo mkoani Kagera, Ezra Gerald (20) amejinyonga kwa shuka hadi kufa akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, huku akiacha ujumbe kuwa alilazwa bila kupimwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Nov
Kijana wa Kagondo Bukoba ajinyonga baada ya kutoka hospitalini
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Nelson Laurent mwenye umri wa miaka 34 mkazi wa kata ya Kagondo Manispaaa ya Bukoba mkoani Kagera amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ndani ya nyumba yake.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kijana huyo ambaye alichukua maamuzi hayo leo majira ya asubuhi mara baada ya kupata chai pamoja na ndugu zake nyumbani kwa baba yake mzazi aliaga kuwa anaenda kubadilisha nguo ili akachukue dawa kwa bibi yake.
vilio na simanzi vilitawala...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mwanafunzi darasa la tatu ajinyonga
MWANAFUNZI wa darasa la tatu shule ya Msingi Mnomo, Kata ya Msangamkuu, Wilaya ya Mtwara Vijijini, Ahmadi Mtuna (10), amefariki dunia baada ya kujinyonga na kamba ya manira katika kenchi...
11 years ago
Habarileo14 May
Mwanafunzi sekondari ajinyonga sebuleni
MWANAFUNZI wa kidato cha pili shule ya sekondari ya Mount Igovu, Jimmy Cliff (16) amekutwa amejinyonga katika sebule yao.
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.
Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani hakuacha ujumbe wowote.
“Mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke...
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mwanafunzi ajiua kwa shuka hospitalini
KATIKA hali isiyotarajiwa, mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Ezra Gerald (19), amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka ya hospitali, alikokuwa amelazwa kwa kile kinachoeleza alikuwa anasumbuliwa na homa ya matumbo.
10 years ago
Habarileo17 Nov
Mwanafunzi ajinyonga kwa kuzuiwa kuuza ng’ombe
MWANAFUNZI wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Nyandoto wilayani hapa, Peter Mwikwabe (19) amejinyonga kwa kutumia kamba hadi kufa, ikielezwa alikasirishwa na kitendo cha kuzuiwa kuuza ng’ombe wa baba yake.
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
9 years ago
GPLHAUSIGELI AJINYONGA!