Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanafunzi ajiua kwa shuka hospitalini

KATIKA hali isiyotarajiwa, mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Ezra Gerald (19), amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka ya hospitali, alikokuwa amelazwa kwa kile kinachoeleza alikuwa anasumbuliwa na homa ya matumbo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi ajiua kwa kukosa tiba

MWANAFUNZI wa kidato cha tano, Ezra Wambamba (19 ) wa shule ya sekondari ya wavulana, Ihungo amejinyonga kwa shuka hadi kufa kwa madai ya kukosa matibabu akiwa hospitali. Akizungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanafunzi ajinyonga hospitalini

Mwanafunzi wa kidato cha tano katika Sekondari ya Ihungo mkoani Kagera, Ezra Gerald (20) amejinyonga kwa shuka hadi kufa akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, huku akiacha ujumbe kuwa alilazwa bila kupimwa.

 

9 years ago

Habarileo

Amchoma mtoto kwa kutoanika shuka alizokojolea

LICHA ya Serikali kukemea vitendo vya kikatili dhidi ya watoto wadogo, mama mmoja wilayani Igunga mkoani Tabora, Kulwa Shasumuni amemchoma moto mwanawe Hassani Faustino (9) kwenye mkono wa kushoto kwa kile alichodai ameshindwa kuanika shuka zake alizokojolea kitandani.

 

11 years ago

Habarileo

Mtumishi wa NMB Songea ajinyonga kwa shuka gesti

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert KiondoWATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga, akiwemo mfanyakazi wa benki ya NMB Tawi la Songea, Wilhelim Swai (37) ambaye amejinyonga kwa kutumia shuka katika nyumba ya kulala wageni.

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Kijana ajinyonga kwa kutumia shuka ndani ya Nyumba

Na Amiri kilagalila,Njombe
Kijana anayefahamika kwa jina la Chesco Mtega mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa kitongoji cha Kanisa A Kijiji cha Ludewa,wilayani Ludewa mkoani Njombe amegundulika amejinyonga kwa kutumia shuka lililofungwa juu ya kenchi na shingoni mwake ndani ya nyumba,huku sababu zikitajwa ni kutokana na msongo wa mawazo (SONONA)
Akizungumza na waandishi wa habari  ofisini kwake mkuu wa Wilaya ya Ludewa ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo Mh,...

 

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara ajiua kwa risasi

MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29) anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti.

 

10 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara ajiua kwa risasi baa

MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36) amejiua kwa kujipiga risasi tatu kifuani akiwa katika baa maarufu ya Arusha Raha iliyopo eneo la Shams, jijini hapa.

 

11 years ago

GPL

BILIONEA DAR AJIUA KWA RISASI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
NI jambo lililotoa mshtuko kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani ambapo Desemba 10, mwaka huu, walikuta mwili wa binadamu ukiwa ndani ya gari lililopinduka, pembeni mwa Barabara ya Kisarawe - Mwaneromango. Mbali na mwili, ndani ya gari hilo aina ya Toyota RAV 4 (milango mitatu new model) lenye namba za usajili T 273 AKP kulikutwa bastola moja, risasi 85 na magazini...

 

10 years ago

Habarileo

Dereva wa OCD ajiua kwa risasi

Thobias SedoyekaASKARI aliyekuwa dereva wa Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) Manyoni mkoani hapa, Aloyce Alibinus amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani