Amchoma mtoto kwa kutoanika shuka alizokojolea
LICHA ya Serikali kukemea vitendo vya kikatili dhidi ya watoto wadogo, mama mmoja wilayani Igunga mkoani Tabora, Kulwa Shasumuni amemchoma moto mwanawe Hassani Faustino (9) kwenye mkono wa kushoto kwa kile alichodai ameshindwa kuanika shuka zake alizokojolea kitandani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzn-DH2nQPaIdK0WueH*naI6l3MZXlcgsY170fuLkIiwZLwYwci*RN*HPdaHw1dVz*EW2m4phXGoKIoeCWr5viH6/mtoto.jpg?width=650)
MAMA AMCHOMA MOTO MTOTO MIAKA 7
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGSkQ2O-ExJOeL8QIkHnagD6uLLblvIodQTl88kIp3E3ZmUj7xmYdMEtDI2zjwhA1WddCQzLWBZIlcDd4RlUzZD/Moto.jpg?width=650)
UKATILI ULIOJE! SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO WAKE
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mwanafunzi ajiua kwa shuka hospitalini
KATIKA hali isiyotarajiwa, mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Ezra Gerald (19), amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka ya hospitali, alikokuwa amelazwa kwa kile kinachoeleza alikuwa anasumbuliwa na homa ya matumbo.
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Mama amchoma mwanaye kwa maji moto
11 years ago
Habarileo03 Aug
Mtumishi wa NMB Songea ajinyonga kwa shuka gesti
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga, akiwemo mfanyakazi wa benki ya NMB Tawi la Songea, Wilhelim Swai (37) ambaye amejinyonga kwa kutumia shuka katika nyumba ya kulala wageni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pNZpvu9j9sU/XvNT3Su5TVI/AAAAAAALvRI/dMnO9zpbKmEm76lEcrLAJ94LFvjTBtSUgCLcBGAsYHQ/s72-c/SHUKA.png)
Njombe:Kijana ajinyonga kwa kutumia shuka ndani ya Nyumba
Kijana anayefahamika kwa jina la Chesco Mtega mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa kitongoji cha Kanisa A Kijiji cha Ludewa,wilayani Ludewa mkoani Njombe amegundulika amejinyonga kwa kutumia shuka lililofungwa juu ya kenchi na shingoni mwake ndani ya nyumba,huku sababu zikitajwa ni kutokana na msongo wa mawazo (SONONA)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mkuu wa Wilaya ya Ludewa ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo Mh,...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
NHIF yakabidhi shuka za mil. 3.5/-
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Tabora, umeikabidhi Hospitali ya Rufaa Kitete msaada wa shuka 150 zenye thamani ya sh milioni 3.5. Akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Yanga SC yakumbuka shuka mapambazuko
BAADA ya kutulizwa na maafande wa Mgambo JKT katika mchezo uliopita, mabingwa watetezi Yanga, jana walizinduka na kuwashushia kichapo cha mabao 5-1 JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq1UVOudzbN6t1swSae1hGf4tnkSZcvT6vuy9PJfL3BRoAUaJoRJ8F5QzqyVnoEvxy3954hq6SNhr6LEUwUqyJri/MREMBOVISU.jpg)
MREMBO AMCHOMA VISU MBONGO SAUZI