NHIF yakabidhi shuka za mil. 3.5/-
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Tabora, umeikabidhi Hospitali ya Rufaa Kitete msaada wa shuka 150 zenye thamani ya sh milioni 3.5. Akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo31 Aug
NHIF Kigoma yakabidhi mashuka 50
IMEELEZWA kuwa mikopo ya vifaa tiba na vitendanishi inayotolewa na mfuko wa Taifa wa Bima ya afya imekuwa msaada mkubwa katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa vifaa katika vituo vya afya na hospitali mbalimbali nchini.
10 years ago
Michuzi13 Nov
NHIF yakabidhi mashuka hospitali ya wilaya
Akikabidhi mashuka hayo kwa uongozi wa hospitali ya wilaya ya Kibondo, meneja wa NHIF mkoa kigoma,Elius Odhiambo alisema kuwa kutolewa kwa mashuka hayo ni sehemu ya mpango wa mfuko huo katika kuboresha utoaji huduma katika sekta ya afya.
Odhiambo alisema kuwa mashuka hayo yaliyotolewa...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/1.Mwandishi-wa-Habari-kutoka-Kampuni-ya-Global-PublishersDenis-Mtimakulia-akionesha-kitambulisho-chake-cha-Bima-ya-Afya-kwa-wanahabari-pichani-hawapo..jpg)
NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAHABARI
5 years ago
MichuziNHIF TANGA YAKABIDHI MASHUKA 50 KWA WILAYA YA PANGANI
MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally
Mwakababu kulia akimkabidhi Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani Seif Ally mashuka yaliyotolewa na mfuko huo kwa ajili ya matumizi ya hospitali ya wilaya katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella halfa hiyo ilifanyika mjini Pangani
MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally
Mwakababu kulia akimkabidhi Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani Seif Ally mashuka...
9 years ago
StarTV25 Aug
Marekani yakabidhi ruzuku ya Sh. Mil. 173
Balozi wa Marekani nchini Mark Childress amekabidhi ruzuku yenye thamani ya shilingi milioni 173 kwa vikundi na mashirika ya kijamiii 14 yanayofanya kazi ya kuboresha maisha ya watanzania kupitia shughuli za maendeleo.
Ruzuku hiyo inatarajiwa kuwanufaisha wananchi wa kipato cha chini zaidi ya 5,000 katika mikoa 12 na kuboresha huduma za kijamii ikiwemo afya, elimu, mazingira na maendeleo ya uchumi.
Kwa mujibu wa Ubalozi wa Marekani, lengo la ruzuku hiyo ni kusaidia vikundi na mashirika ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qSgurokd8S8/VHtBC7dYauI/AAAAAAABOVk/uOmmnvr-Jl8/s72-c/0.jpg)
Tughe NHIF wamzawadia Humba mil.10
![](http://4.bp.blogspot.com/-qSgurokd8S8/VHtBC7dYauI/AAAAAAABOVk/uOmmnvr-Jl8/s1600/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TKuFewvRKvM/VHtAwuMqA3I/AAAAAAABOVY/am7Xlcq-2w0/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida
Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...
10 years ago
StarTV06 Feb
ACACIA yakabidhi Sh. Mil. 863 Halmashauri ya Tarime
Na Jumanne Ntono,
Mara.
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia inayofanya kazi zake katika mgodi wa North Mara Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwasaidia wananchi kujiletea maendeleo kutokana na mabadiliko makubwa ya kiutendaji yaliyofanywa na kampuni hiyo hivi karibuni.
Akikabidhi hundi ya Shilingi milioni 863 kwa Halmashauri ya wilaya ya Tarime kama kodi ya tozo la huduma, Meneja mgodi wa Acacia North Mara, Gary Chapman amesema...