Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga SC yakumbuka shuka mapambazuko

BAADA ya kutulizwa na maafande wa Mgambo JKT katika mchezo uliopita, mabingwa watetezi Yanga, jana walizinduka na kuwashushia kichapo cha mabao 5-1 JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yakumbuka marashi ya ‘Zenji’

KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu Mzambia, Patrick Phiri, kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo kwenda Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho ya Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Jumamosi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan yakumbuka shambulio la Heroshima

Raia wa Japan wanaadhimisha kumbukumbu ya miaka 70 tangu shambulio la kwanza la bomu la Atomiki kutekelezwa mjini Heroshima

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari

Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA yakumbuka wenzao waliolazwa

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limetumia zaidi ya sh milioni mbili kuwasaidia wafanyakazi wenzao waliolazwa hospitalini kutokana na matatizo ya kiafya. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi wakati...

 

10 years ago

BBCSwahili

China yakumbuka ushindi dhidi ya Japan

China imeadhimisha kumbukumbu ya miaka 70 tangu vita ya pili ya dunia, baada ya kuipiga Japan

 

9 years ago

BBCSwahili

Pakistan yakumbuka shambulio lililoua 150

Ibada imeandaliwa kuwakumbuka watu 150 waliouawa katika shule moja eneo la Peshawar, Pakistan mwaka mmoja uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nagasaki yakumbuka bomu iliyoua watu elfu 70

Ibada maalumu za ukumbusho zinaendelea katika mji wa Nagasaki,Japan, kuadhimisha miaka 70 tangu bomu ya atomiki kuua watu elfu 70 mjini humo

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHIF yakabidhi shuka za mil. 3.5/-

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Tabora, umeikabidhi Hospitali ya Rufaa Kitete msaada wa shuka 150 zenye thamani ya sh milioni 3.5. Akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Habarileo

Diwani aadhibiwa kufua shuka za hospitali

DIWANI wa Kata ya Kasanda wilayani Kakonko, Dickson Barutwa (40) wa Chadema na wenzake watatu, wamehukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kibondo mkoani hapa adhabu ya kufua shuka za wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani kwa siku 14 baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani