Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yakumbuka marashi ya ‘Zenji’

KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu Mzambia, Patrick Phiri, kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo kwenda Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho ya Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Jumamosi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sare zaing’oa Simba ‘Zenji’

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema haoni haja ya kurejea Zanzibar kuendelea na kambi kwa mechi zijazo za Ligi Kuu, baada ya kuambulia sare katika mechi mbili mfululizo katika...

 

9 years ago

MillardAyo

Haya ndio matokeo ya Simba dhidi ya Jamuhuri kutoka uwanja wa Amaan Zenji …

Bado michuano ya Kombe la Mapinduzi inaendelea visiwani Zanzibar, baada ya jioni ya January 4 kupigwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA ya Uganda dhidi ya JKU ya Unguja, usiku wa January 4 ukapigwa mchezo wa pili wa Kundi A kati ya Simba ya Dar Es Salaam na Jamuhuri ya Pemba. Mchezo […]

The post Haya ndio matokeo ya Simba dhidi ya Jamuhuri kutoka uwanja wa Amaan Zenji … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji ‘aliyechokozwa’ na Costa apewa marashi

Mchezaji aliyeonekana kuchokozwa na mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameahidiwa manukato ya kumtosha mwaka mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marashi ya Karafuu, je bado yapo Pemba?

Wakulima wa Karafuu Pemba wanasema wanaitaka Serikali yao kufanya juhudi kwa ajili ya kuendeleza zao ambalo wamekuwa wakizalisha kwa miaka mingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga SC yakumbuka shuka mapambazuko

BAADA ya kutulizwa na maafande wa Mgambo JKT katika mchezo uliopita, mabingwa watetezi Yanga, jana walizinduka na kuwashushia kichapo cha mabao 5-1 JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari

Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan yakumbuka shambulio la Heroshima

Raia wa Japan wanaadhimisha kumbukumbu ya miaka 70 tangu shambulio la kwanza la bomu la Atomiki kutekelezwa mjini Heroshima

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA yakumbuka wenzao waliolazwa

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limetumia zaidi ya sh milioni mbili kuwasaidia wafanyakazi wenzao waliolazwa hospitalini kutokana na matatizo ya kiafya. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi wakati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Pakistan yakumbuka shambulio lililoua 150

Ibada imeandaliwa kuwakumbuka watu 150 waliouawa katika shule moja eneo la Peshawar, Pakistan mwaka mmoja uliopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani