Haya ndio matokeo ya Simba dhidi ya Jamuhuri kutoka uwanja wa Amaan Zenji …
Bado michuano ya Kombe la Mapinduzi inaendelea visiwani Zanzibar, baada ya jioni ya January 4 kupigwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA ya Uganda dhidi ya JKU ya Unguja, usiku wa January 4 ukapigwa mchezo wa pili wa Kundi A kati ya Simba ya Dar Es Salaam na Jamuhuri ya Pemba. Mchezo […]
The post Haya ndio matokeo ya Simba dhidi ya Jamuhuri kutoka uwanja wa Amaan Zenji … appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Licha ya kuwadhibiti Simba, hiki ndio kichapo cha Jamuhuri walichokipata kutoka kwa wanajeshi …
Michuano ya Kombe la Mapinduzi January 6 iliendelea kama kawaida kwa mujibu wa ratiba January 6 itachezwa michezo miwili ya Kundi A. Mchezo mmoja tayari umemamlizika kati ya JKU dhidi ya Jamuhuri kutoka Pemba. Huu ulikuwa mchezo ambao JKU ilifanikiwa kupata ushindi wa jumla ya goli 3-0. Jamuhuri ambao walifanikiwa kuidhibiti Simba katika mchezo wa […]
The post Licha ya kuwadhibiti Simba, hiki ndio kichapo cha Jamuhuri walichokipata kutoka kwa wanajeshi … appeared first on...
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Kutoka Zenji Mtibwa Sugar washindwa kulipa kisasi dhidi ya Azam FC (+Pichaz)
Michuano ya Kombe la Mapinduzi imeendelea tena usiku wa January 3 baada ya kuchezwa mchezo wa awali kati ya Dar Es Salaam Young African ya Tanzania bara dhidi ya Mafunzo FC ya visiwani Zanzibar, baada ya mchezo huo kupigwa na Yanga kuibuka na ushindi wa 3-0. Usiku wa January 3 ulichezwa mchezo wa pili wa […]
The post Kutoka Zenji Mtibwa Sugar washindwa kulipa kisasi dhidi ya Azam FC (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-igthB1BXPI8/U0GYHyMIUkI/AAAAAAAFY2Q/zXQaR2Zp3ik/s72-c/IMG-20140406-WA0004.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-K4FgS9VSN6c/VjIuamlZj9I/AAAAAAAADns/zNhkXw8gIBQ/s72-c/BABATI%2BMJINI.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s1600/8.jpg)
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Uingereza imeendelea tena usiku wa December 29 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, mchezo wa December 29 ulikuwa unazihusisha klabu za Leicester City dhidi ya klabu ya Manchester City. Uzuri wa mchezo huu ni kuwa vilabu vyote viwili vipo katika mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu kutokana na […]
The post Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10