Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pakistan yakumbuka shambulio lililoua 150

Ibada imeandaliwa kuwakumbuka watu 150 waliouawa katika shule moja eneo la Peshawar, Pakistan mwaka mmoja uliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Japan yakumbuka shambulio la Heroshima

Raia wa Japan wanaadhimisha kumbukumbu ya miaka 70 tangu shambulio la kwanza la bomu la Atomiki kutekelezwa mjini Heroshima

 

10 years ago

GPL

43 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI PAKISTAN

WATU zaidi ya 43 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha walioshambulia basi huko Karachi, Pakistan. Basi lililoshambuliwa na watu hao lilikuwa limewabeba waumini wa dhehebu la Shia. Polisi wa Karachi wameeleza kuwa washambuliaji wapatao sita wakiwa katika pikipiki walilishambulia basi katika eneo la Safoora Goth kwa risasi na kuua watu hao 43. ...

 

11 years ago

Habarileo

Dereva wa basi lililoua ajisalimisha

DEREVA wa basi lililotumbukia katika korongo na kuua watu sita na kujeruhi vibaya wengine 18, waliokuwa wakisafiri kutoka Mbinga mjini kwenda Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, amejisalimisha polisi akiwa katika hali mbaya.

 

9 years ago

Habarileo

Dereva basi lililoua Urambo mahakamani

DEREVA wa basi la Allys Star, Alfa Haji (37) lililokuwa likitokea katika wilaya ya Kaliua kuelekea jijini Mwanza amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Urambo mkoani Tabora, akikabiliwa na mashitaka 22 ikiwemo kusababisha vifo vya watu wanane na majeruhi 13.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Simba yakumbuka marashi ya ‘Zenji’

KIKOSI cha Simba chini ya Kocha Mkuu Mzambia, Patrick Phiri, kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo kwenda Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho ya Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Jumamosi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TUCTA yakumbuka wenzao waliolazwa

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limetumia zaidi ya sh milioni mbili kuwasaidia wafanyakazi wenzao waliolazwa hospitalini kutokana na matatizo ya kiafya. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi wakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga SC yakumbuka shuka mapambazuko

BAADA ya kutulizwa na maafande wa Mgambo JKT katika mchezo uliopita, mabingwa watetezi Yanga, jana walizinduka na kuwashushia kichapo cha mabao 5-1 JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari

Watu nchini Rwanda wanaadhimisha miaka 20 tangu kutokea mauaji ya kimbari mwaka 1994 kwa kuwakumbuka maelfu waliouawa

 

10 years ago

Mwananchi

Dereva wa lori lililoua 50 Mafinga afungiwa leseni

>Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) na Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi, wamezifungia leseni za madereva sita akiwamo Maga Magazini dereva wa lori lililogongana na basi la abiria la Kampuni ya Majinjah Express na kusababisha vifo vya watu 50 na wengine 22 kujeruhiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani