Dereva wa lori lililoua 50 Mafinga afungiwa leseni
>Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) na Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi, wamezifungia leseni za madereva sita akiwamo Maga Magazini dereva wa lori lililogongana na basi la abiria la Kampuni ya Majinjah Express na kusababisha vifo vya watu 50 na wengine 22 kujeruhiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Aug
Dereva wa basi lililoua ajisalimisha
DEREVA wa basi lililotumbukia katika korongo na kuua watu sita na kujeruhi vibaya wengine 18, waliokuwa wakisafiri kutoka Mbinga mjini kwenda Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, amejisalimisha polisi akiwa katika hali mbaya.
9 years ago
Habarileo20 Dec
Dereva basi lililoua Urambo mahakamani
DEREVA wa basi la Allys Star, Alfa Haji (37) lililokuwa likitokea katika wilaya ya Kaliua kuelekea jijini Mwanza amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Urambo mkoani Tabora, akikabiliwa na mashitaka 22 ikiwemo kusababisha vifo vya watu wanane na majeruhi 13.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rvK5G5vudcg/XsUMMlq7MAI/AAAAAAALq6k/HhxL8tAuT-ICQpDjpHi3zdFYXX9V2TVkACLcBGAsYHQ/s72-c/529dac7a-2123-4f92-a35e-798ab1d73462.jpg)
HALMASHAURI YA MAFINGA KUTOA LESENI ZA BIASHARA KIELEKTRONIKI
Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2020, katika Ofisi za BRELA Makao Makuu Jijini Dar es salaam yakishuhudiwa na Maofisa kutoka BRELA na Maofisa Biashara kutoka katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Akizungumza katika hafla fupi...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Dereva lori la mafuta afa ajalini
DEREVA wa gari la mafuta Ally Ngoma (62) amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akiendesha kugongana na basi dogo la abiria.
11 years ago
Habarileo24 Jan
Taqwa lagongana na lori, dereva afa
DEREVA wa basi la kampuni ya Taqwa, Adam Ibrahim (50) amekufa papo hapo huku abiria kumi wakijeruhi baada ya gari alilokuwa anaendesha kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi kugongana na lori katika kitongoji cha Ngonho, Kata ya Miguwa wilayani hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMEFP--Tvw-ohKZgI3umtPQcDDiH1AWhfNxjFRpC8YgKAW*VPC324Jvw8dWFVlcchRFQG31zXFf9cwz3WcxjB40/IMG20140909WA0003.jpg)
AJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA MIKESE ILIYOUA DEREVA WA LORI LA MAFUTA
11 years ago
Mwananchi28 May
Dereva aporwa lori la mafuta akiwa kwenye foleni mizani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-suR8NRAHayw/Xnx0TBbVzxI/AAAAAAALlEw/9FfjFDEluJ4-OITirP1nzjGT5gTolnP9gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B12.18.47%2BPM.jpeg)
MGONJWA MWINGINE WA CORONA AONGEZEKA, NI DEREVA WA LORI, SASA WAFIKIA 13
![](https://1.bp.blogspot.com/-suR8NRAHayw/Xnx0TBbVzxI/AAAAAAALlEw/9FfjFDEluJ4-OITirP1nzjGT5gTolnP9gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B12.18.47%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Rk071ZZ0wiA/Xnx0TMZOYuI/AAAAAAALlE0/iPZd1oxlKWssIkX5b_7-Wzqldb5MPZvEACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-26%2Bat%2B12.19.40%2BPM.jpeg)
Charles James, Globu ya JamiiIDADI ya wagonjwa wenye...