HALMASHAURI YA MAFINGA KUTOA LESENI ZA BIASHARA KIELEKTRONIKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-rvK5G5vudcg/XsUMMlq7MAI/AAAAAAALq6k/HhxL8tAuT-ICQpDjpHi3zdFYXX9V2TVkACLcBGAsYHQ/s72-c/529dac7a-2123-4f92-a35e-798ab1d73462.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amekabidhi vifaa vya Tehama kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga, Bi. Saada Mwaruka kwa ajili ya utoaji wa Leseni za Biashara kielektroniki katika Halmashauri hiyo.
Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2020, katika Ofisi za BRELA Makao Makuu Jijini Dar es salaam yakishuhudiwa na Maofisa kutoka BRELA na Maofisa Biashara kutoka katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Akizungumza katika hafla fupi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s72-c/12.jpg)
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s1600/12.jpg)
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
10 years ago
Mwananchi03 Apr
Dereva wa lori lililoua 50 Mafinga afungiwa leseni
9 years ago
Habarileo16 Dec
Leseni za madini zaanza kulipiwa kielektroniki
WIZARA ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Leseni za Madini (OMCTP), ambao umeanza kutumika rasmi Desemba 10 mwaka huu.
11 years ago
Habarileo10 Dec
Halmashauri zaaswa kutumia mashine za kielektroniki
KAMATI ya Bunge ya Serikali za Mitaa imezishauri halmashauri zote nchini kutumia mashine za kielektroniki (EFDs), zitolewazo na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa risiti za kupokea fedha kudhibiti tatizo la upotevu wa vitabu vya risiti.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LRMeAToBidQ/VN3xpxKWbkI/AAAAAAAAM-I/12GAzluB1TQ/s72-c/IMG-20141213-WA0177.jpg)
HALMASHAURI YA MUFINDI YAPEWA WIKI 3 KUJENGA KIZIMBA CHA TAKATAKA SOKO KUU MAFINGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRMeAToBidQ/VN3xpxKWbkI/AAAAAAAAM-I/12GAzluB1TQ/s640/IMG-20141213-WA0177.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-e5eVgfE38Sg/VN3xzGtogdI/AAAAAAAAM-Q/z7xbIsFoiOU/s640/IMG-20141213-WA0176.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...
11 years ago
Michuzi21 Mar
Taarifa ya Ukaguzi wa Leseni Za Biashara
![](https://1.bp.blogspot.com/-ftsK2e8M8uA/Uyrny0_vooI/AAAAAAACsYc/pv9349qXgUc/s1600/IMG_2076.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-miQPLNksD7Q/Uyrnwm13ZiI/AAAAAAACsYM/sENVGWDCRs8/s1600/IMG_2094.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Wasiobadilisha leseni za biashara kutozwa dola 5,000
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema wanachama ambao hawajabadilisha leseni za biashara ifikapo Machi 16, mwaka huu watapigwa faini ya dola 5,000. Kamishna wa Forodha na Ushuru wa mamlaka hiyo,...
11 years ago
Habarileo08 Jul
Ilala kutoa leseni kwa mtandao
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala jana imezindua utumiaji mitandao katika utoaji wa leseni ya biashara. Meya wa Manispaa hiyo, Jerry Silaa, alizindua mtandao huo jana katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.