Taarifa ya Ukaguzi wa Leseni Za Biashara
Afisa Habari wa Wizara ya Viwanda na Uchukuzi, Nicodemas Mushi (kulia) akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam kuelezea tamko la serikali kuanza ukaguzi wa leseni zote za biashara nchini. Pembeni yake ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher (kati) akikazia tamko la serikali juu ya ukaguzi wa leseni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D6LnAHrs3xM/UyoG6H2AmvI/AAAAAAAA3es/zRbu15piiGU/s72-c/IMG_2076.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAGUZI WA LESENI ZA BIASHARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-D6LnAHrs3xM/UyoG6H2AmvI/AAAAAAAA3es/zRbu15piiGU/s1600/IMG_2076.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--wODj2xBt2Q/UyoG7t8BGjI/AAAAAAAA3e0/eEkPEuHoYwo/s1600/IMG_2094.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s72-c/12.jpg)
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s1600/12.jpg)
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Ukaguzi leseni na vyeti vya madereva waanza
![Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Mohamed-Mpinga.jpg)
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga
ADAM MKWEPU NA CHRISANTA CHRISTIAN, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi jana limeanza kufanya ukaguzi wa leseni na vyeti vya madereva kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na nchi jirani Ubungo (UBT), jijini Dar es Salaam kufuatia ajali za barabarani nchini kuongezeka.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema kuwa ukaguzi huo una lengo la kuchunguza madereva ambao...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Wasiobadilisha leseni za biashara kutozwa dola 5,000
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema wanachama ambao hawajabadilisha leseni za biashara ifikapo Machi 16, mwaka huu watapigwa faini ya dola 5,000. Kamishna wa Forodha na Ushuru wa mamlaka hiyo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rvK5G5vudcg/XsUMMlq7MAI/AAAAAAALq6k/HhxL8tAuT-ICQpDjpHi3zdFYXX9V2TVkACLcBGAsYHQ/s72-c/529dac7a-2123-4f92-a35e-798ab1d73462.jpg)
HALMASHAURI YA MAFINGA KUTOA LESENI ZA BIASHARA KIELEKTRONIKI
Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2020, katika Ofisi za BRELA Makao Makuu Jijini Dar es salaam yakishuhudiwa na Maofisa kutoka BRELA na Maofisa Biashara kutoka katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Akizungumza katika hafla fupi...
10 years ago
Habarileo17 Mar
CAG: Taarifa za ukaguzi ziripotiwe kwa uangalifu
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Juma Asaad ametoa wito kwa asasi za kiraia pamoja na vyombo vya habari nchini kupitia kwa umakini na uangalifu taarifa za ukaguzi wa hesabu zinazotolewa na ofisi hiyo ili kuepusha upotoshaji wakati wa kuelimisha jamii.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOh3fJeyAYB-Ke57WMVpcUh0sl66MJDXDvzaEcaXLfFvd-*H5VknQ*5M75eEmkkd5T0EPg-leiOSquvURXFcJwwJ/cdm.jpg)
CHADEMA YASIKITISHWA NA TAARIFA ZA UFISADI KATIKA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014