SOMA HAPA TAARIFA KUHUSU RIPOTI YA UKAGUZI WA MANUNUZI YA UMMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D6LnAHrs3xM/UyoG6H2AmvI/AAAAAAAA3es/zRbu15piiGU/s72-c/IMG_2076.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAGUZI WA LESENI ZA BIASHARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-D6LnAHrs3xM/UyoG6H2AmvI/AAAAAAAA3es/zRbu15piiGU/s1600/IMG_2076.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--wODj2xBt2Q/UyoG7t8BGjI/AAAAAAAA3e0/eEkPEuHoYwo/s1600/IMG_2094.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s72-c/1.jpg)
KAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s640/1.jpg)
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hBmt2I0IwwM/VcWf1c2IDvI/AAAAAAABTRg/f8ibKkz59OM/s72-c/CL3WowIUcAEVYWv.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.
Tathmini ya Upigaji Kura
Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...
10 years ago
Michuzi11 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s1600/8-chadema.jpg)
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
(CHADEMA)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
Tangu jana kumekuwa na taarifa kupitia njia mbalimbali za upashanaji habari kuhusu msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi nchini.
Habari hizo ambazo zingine zimeripotiwa kwenye vyombo vya habari hususan magazeti ya jana (Alhamis) na leo (Ijumaa), zimesema kuwa UKAWA ‘wameshagawana’ majimbo kadha wa kadha na kwamba bado...
9 years ago
MichuziTAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATOKEO YA OPERESHENI GIBOIA II